hapa naunga mkono hoja ya mkapa
kwamba watanzania ni wavivu wa kufikiri.
huyu mtu ni mfanyabiashara
sasa kafisadi nini hapo wakati anahamisha ela zake na pia ni 2billion.
lakini kuna watu wameamisha matilion na ni watumishi wa uma lakini watz wamekaa kimya
ama kweli tz ni nchi ya kipuuz kweli
mi naona kama bongo fleva tu hapo
unamtoa boss unamweka naibu sasa ndio nini? na pia huyo hosea mtakumbuka aliwai kusema kwamba ikulu inamwingilia kazi zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.