Recent content by robert deusi

  1. R

    Kwa hili sio siri Prof. Maghembe ameonewa sana aombwe radhi

    sio mbaya sana kama lazaro muuza sura
  2. R

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    huu sasa uchawi wa live kabisaaa
  3. R

    Siri nzito CHADEMA: Katibu mkuu wake kutoka kanda ya ziwa

    we ------ tu sawa na drslaa wako
  4. R

    Kamati kuu ya CCM haifai, ilishindwa kumsimamia JK, imwache Magufuli afanye kazi yake, aibu yenu

    ccm na ufisasi ni ngumu kuutenganisha na vyanzo vya mirija ya ufisadi viko ndani ya ccm
  5. R

    CHADEMA kwanini msiende Mahakamani kupinga zuio hili linalopingana na Katiba ya nchi?

    ushindi wa magumashi ndio tatizo kwa mtindo huu na laana za wa africa kung'ang'ania madaraka sioni demokrasia africa
  6. R

    Zitto Kabwe anatumia muda mwingi kuijenga CCM kuliko hata kukijenga chama chake

    act ishakufa sasa afanyeje? mrema.cheyo.zitto ngoma droo
  7. R

    Waziri wa Ajira na Waziri wa Viwanda, majipu mengine haya huku kampuni ya Sukari ya Kilombero

    kwa upuuzi wenu mmewapa kila kitu mnategemea nini?
  8. R

    Mwenyekiti wangu Mbowe kwa hili hapana

    kwa segerea tuwe wakweli yule dada ndie alievuruga chama kwa kuongwa nadia na bonna. tuache unafiki tuwe wakweli
  9. R

    Mbowe kukamatwa kwa ufisadi

    hapa naunga mkono hoja ya mkapa kwamba watanzania ni wavivu wa kufikiri. huyu mtu ni mfanyabiashara sasa kafisadi nini hapo wakati anahamisha ela zake na pia ni 2billion. lakini kuna watu wameamisha matilion na ni watumishi wa uma lakini watz wamekaa kimya ama kweli tz ni nchi ya kipuuz kweli
  10. R

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Edward Hoseah

    mi naona kama bongo fleva tu hapo unamtoa boss unamweka naibu sasa ndio nini? na pia huyo hosea mtakumbuka aliwai kusema kwamba ikulu inamwingilia kazi zake
  11. R

    Neno la kejeli: Mliomtaka Lowassa mmesahau mlitaka kurudisha nini kwa taifa?

    acha umbea na unafiki thibitisha uhusika wa lowassa kwenye richmond na kama uwezi muulize mwakyembe alificha nini ili kuokoa serikali?
  12. R

    Anachofanya Rais Magufuli sasa ni uchonganishi kati ya wananchi na Kikwete

    tena hata twiga walienda ulaya ila huyu wa sasa anajifanya mgumu
  13. R

    G.Mgimwa bado anastahili kuaminiwa ndani ya BJMT

    raha ya ccm ni madili tu akuna cha nani wala nani ni dili kwenda mbele
Back
Top Bottom