Recent content by Robby4

  1. R

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Rais Magufuli ya 'Watu Kuishi kama mashetani' inahalalisha maovu

    Unachambua vifungu vya maneno Kama unasoma bible
  2. R

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Dereva ajimwagia petroli na kumng'ang'ania polisi wafe wote

    Dereva nae alifariki baada ya siku 2, alifia hospital. Na aliishazikwa muda mrefu kwa sababu ishu hiyo ni ya zaidi ya wiki tatu. Sababu hasa ni unyanyaswaji unaofanywa na Askari wa barabarani wa DRC hasa kwa madereva wa tax na daladala. Hasa huku Kinshasa ndio kitovu cha tatizo.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Wabunge wataka Milioni 130 badala ya 90 kama mkopo wa gari

    We unatoka kijiji gani? Nani kakwmbia huwa wanalipa na riba? Hizo pesa zinatoka hazina moja kwa moja, na wakipewa mil 200, serkali itawalipia mil 100, na wao mil 100, tena nusunusu!
  4. R

    JamiiForums Tanzania Wabunge wataka Milioni 130 badala ya 90 kama mkopo wa gari

    Mimi naona serikali iingie sokoni, iagize yenyewe magari ya bei poa kutoka Japan, kisha iwagawie, kwa atakae kataa basi, akanunue kwa hela yake. Wasipewew pesa mkononi hao, wakabidhiwe gari tu!
  5. R

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Edward Lowassa juu ya hali ya kisiasa Nchini na Mustakabali wa Zanzibar, Nov 15, 2015

    Huwezi kushinda uraisi kwa kupata wabunge 54 kati ya 264!!!!!, ndo maana jumuia za kimataifa zimempuuza.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Edward Lowassa juu ya hali ya kisiasa Nchini na Mustakabali wa Zanzibar, Nov 15, 2015

    Sasa unasubiri nini kuanza vurugu?
  7. R

    JamiiForums Tanzania Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Shimo la panya halizibwi kwa mkate na njia ya chooni haioti majani
  8. R

    JamiiForums Tanzania Walisema Zitto anafadhiliwa na Lowassa, kumbe ni wao CHADEMA ndiyo walikuwa wanafadhiliwa

    Slaa aliishasema hapo nyuma kuwa Lowasa akihamia CHADEMA yeye ataenda CCM. Tunamsubiri atekeleze ahadi yake
  9. R

    JamiiForums Tanzania Hivi mbona CCM wako kimya mpaka sasa?

    CCM wanajua wanchokifanya, kukata jina la Lowasa huku wakijua ana wafuasi wengi si uamuzi wa kukurupuka, na huu mchezo wa siasa ni mbaya sana, CCM knows Lowasa inn and out, and Lowasa knows CCM as well, Nina imani kati yao kuna mmoja kakurupuka na maamuzi yake, hakujipanga!, So ukimya wa CCM si...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Binti asimulia watanzania wanavyotumikishwa kwenye madanguro China

    Ninaungana na wewe kabisa, pia serikali ina uwezo wa kumkamata huyo kinara mtz, lady boss! Na pengine hata baadhi ya viongozi wa serikali wapo ndani ya mtandao ndo maana vitendo hivyo vya kulaghai mabinti haviishi pamoja na kupigiwa kelele sana. Binti anafika uwanja wa ndege, tiketi yake...
Back
Top Bottom