Pia nyerere alisema mabadiliko yasipopatikana ndani ya ccm wananchi watayatafuta nje ya ccm...
Na issue si lowasa issue ni ccm...wananchi walio wengi wameuchoka mfumo dume wa ccm...
So wanataka mabadiliko kupitia chama ambacho wanaamini hakina mfumo dume...
Philosophy inasema we differ in...
je hii nchi kila mtu ana mamlaka ya kumfunga mtu..eti kwa sababu yeye ni mtu fulani..akikosolewa kidogo kutokana na pumba zake..anakutisha..ooh ntakutia ndani...hakuko na umuhimu wa kuwa na sheria...
ndugai ni naibu spika anayepaniki sana si mara ya kwanza kuonyesha dhahiri aelewi anachokifanya...kwa hyo yule anaepambana kwa ajili ya maslahi ya nchi atoke nje, ila anae tukana aendelee kukaa ndani...nashndwa kuelewa hapo...ili bunge la wavuta bhangi..?.pimeni akili zao hao watukanaji...na sio...
katika bunge linaloendelea hvi sasa,tumeendelea kushuhudia uvunjaji wa kanuni na taratibu za bunge, bunge limekuwa kama kilabu cha pombe,chochote atakachojisikia kuropoka anaropoka...inafikia hatua watu/waheshimiwa wanaitana mbwa, nini kifanyike ili kanuni, sheria na taratibu za bunge...
me nafikiri hakuko na hyo haja..sababu huyo mtoto bado ni mdogo sana..na bado anahitaji malezi ya wazazi wote wawili..nikiwa na maana ya baba na mama...msiwe na fikra za kibinafsi...unganisheni fikra zenu na kurekebisha tofauti zenu kwa manufaa ya mtoto...
mi nafikiri hapo muheshimiwa mulugo, umekurupuka, usitumie ghadhabu, tumia hekima,,je unafikiri ni kazi rahisi kuwapata hao wanafunzi katika hyo mitandao...kwa hilo nasema umekurupuka,..jipange
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.