Hoja ya kupigwa? mama huyu siyo kawaida, amemzaba kibao Mtunza Hazina wa Wilaya akiwa katika harakati za kusaini mahudhurio, kisa amemsimamisha kazi bila kufuata taratibu, hakuna kamati iliyoundwa, hakuna kikao cha madiwani kuridhia, amekaa nyumbani kwake na kulima barua ya kumsimamisha mtunza...
Kwa kweli sasa hali imekuwa si shwari katika Nyanja zote za kiuchumi, kijamii na kisiasa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba. Shughuli zimesimama baada ya madiwani kumkataa Mkurugenzi na baadhi ya wakuu wa idara. Mkuu wa mkoa Ndugu Kone amefika lakini ameshindwa kutoa maamuzi na maelekezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.