Recent content by RMC

  1. R

    JamiiForums Tanzania Kutosema ukweli kuwa Mwl Julius Nyerere aliharibu nchi kisiasa na kiuchumi kitaligharimu taifa letu mpaka kiama

    Wewe ni mbimbumbu lakini unajitutumua kwa kuwa tu una simu ya android unatype. Tafuta mtu aliyesoma uchumi akufundshe kidogo tu masuala ya uchumi juu juu ili uone gap iliyopo ksti ya ulichoandika na uhalisia. Umaskini sio kama ujenzi ea nyumba ukimaliza basi unakaa. Katafute data wakati...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Serikali baada ya kukusanya kodi hatuambiwi zinaenda wapi

    umeandika ili nawe uonekane umesema lakini hili andiko lako halina mashiko. Matumizi ya kodi zinaokusanywa na mapato mengine ya serikali huwa yanaonyeshwa namna yatakavyotumika kupitia bajeti kuu ya serikali inayosomwa bungeni kuanzia mwezi April hadi June kila mwaka ambapo kika wizara hueleza...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mahakama: BAKWATA si Chombo cha Waislam wote

    Vurugu za waislamu wewe hazitakuathiri? Sikukuu za kiislamu serikali itafanyaje maana wana haki kusherehekea sikukuu yao. Mmiliki wa mali ana haki ya kuuza mali. BAKWATA hawajawahi kuuza mali ya muislamu isipokuwa,mali ambazo zipo chini ya mamlaka yake, hao waislamu ni kina nani mali zao...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Mahakama: BAKWATA si Chombo cha Waislam wote

    Hivi unaelewq maana ya anarchy? Hivi nchi isipotawalika nini kitafuata hapo kama sio kuchinjana? Ili muajiri atoe siku ya mapumziko rasmi kuwezesha waumini waende kwenye ibada inabidi kuwe na tamko la serikaki la lini ni sikukuu na serikali haiwezi kuwapangia watu tarehe kwani serikali haina...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Mahakama: BAKWATA si Chombo cha Waislam wote

    Kuna wakristo wapumbavu kutokana na chuki zao dhidi ya serikaki na CCM basi lolote linalokuja dhidi ya serikali na CCM wao wanashabikia tu bika kuangalia athari zake kwa mustakabali wa imani yao. Katika uislamu hakuna ajenda ya kuishi na dini zingine isipokuwa wote wawe waislamu, hizi hatua za...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Mahakama: BAKWATA si Chombo cha Waislam wote

    Ila haitàwezekana serikali kumsikiliza muislamu mmoja mmoja au vikundi lukuki linapikuja suala la maslahi ya jumla ya waislamu, mfano tarehe ya skjukuu ya Iddi atasikilizwa nani pale watakapotofautiana? Hii hukumu inaweza kuwa mwanzo wa anarchy katika uislamu na vurugu za uvunjifu wa amani...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba, Tahadhari: Huwezi Kugeuzwa kuwa Jiwe la Chumvi

    Wewe ni zaidi ya mwendawazimu.
  8. R

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba, Tahadhari: Huwezi Kugeuzwa kuwa Jiwe la Chumvi

    Kuwa na akili sio maana yake kukubaliana na mnachotaka nyinyi wapumbavu . Warioba hafanyi vitu kwa shinikizo, ukiona anesimamia jambo maana yake kwa akili yake ameona mantiki. Ndio maana hata nyinyi CHAEDEMA mlipomuendea na mapendekezo yenu mengine aliwakàalia pakepale baada ya kuekezwa. Kama...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba, Tahadhari: Huwezi Kugeuzwa kuwa Jiwe la Chumvi

    Warioba hawezi kusikiliza ushauri pumba kama huu. Serikali haitaondoka madarakani kwa kelele za mitandaoni. Wote wenye busara tunajua kuwa mazungumzo ndio njia bora ya kutatua changamoto za wakati.
  10. R

    JamiiForums Tanzania M23 na Rwanda wakamata rasmi Kivu Kusini na Bandari zote za Ziwa Tanganyika DRC. TISS na JWTZ endeleeni tu kuwa migambo ya CCM

    Uliitaka azuiwe kusema? Hivi lini ninyi mtakuwa,na akili. Museveni hajavamia nchi yeyote. Kila nchi ina mipango yake ya kulinda ardhi yake. Wewe ndio huna akili, Tanzania haitaingia vitani na Rwanda kwa kufuata wapuuzi kama nyinyi wa humu Jf. Tanzania haina ugomvi na Rwanda. CCM itaendelea...
  11. R

    JamiiForums Tanzania M23 na Rwanda wakamata rasmi Kivu Kusini na Bandari zote za Ziwa Tanganyika DRC. TISS na JWTZ endeleeni tu kuwa migambo ya CCM

    Unaongea porojo huku ukisukumwa na chuki. Tanzania haina mandate ya kuchagua nani atawale DRC. Wananchi wa mashariki mwa DRC wana haki ya,kupigania kuishi katika nchi yao.. Reli ya SGR haikujengwa kwa ajili ya DRC mashariki tu bali kwa ajili ya uchumi wa mikoa ya Katavi. Rukwa na Kigoma...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mtanzania jiulize kwanini Sweden yenye watu wachache kuliko Tanzania lakini Serikali ya Tanzania inaomba misaada ya walipa kodi wa Sweden

    Hiyo ni taaluma usidandie kishabiki. Nikuulize swali rahisi? Hapa Afrika kuna mtu mweusi anaweza kugeuza mchanga/ udongo kuwa mashine?
  13. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto: Kesho tutawaambia namna ya kupiga kura ya urais

    Umemuuza Mpina sasa unataka uwadanganye wanachama wako tena. Hicho kipengele cha mtu kujiunga walau siku saba kabla mchakato haujaanza na nchkjato wenu ulianza Mei. 2025 ulikuwa hukijui? Mpina sasa anajuta kukufahamu.
  14. R

    JamiiForums Tanzania Kama Israel ina teknolojia mbona walishindwa kupata mateka wao

    Ndiyo raha ya jf, unabonyeza key board basi unadhani unajua kila kitu. Endeleeni kulia kichapo mlichochapwa sio kidogo nchi saba kote magaidi yamepigwa.
  15. R

    JamiiForums Tanzania Haitashangaza pia kuona CHADEMA ikimtetea Mafwele siku zijazo

    Viongozi wa CHADEMA walinunuliwa kwa sababu walijiuza. sio kosa la CCM wàa Polepole. Hata wewe ukiamua kuuza mwili wako halafu watu wakaununua kwa ajili ya starehe wa kulaumiwa sio wao ni wewe kwa sababu mwili ni wako.. Kila mtu ana hiyari ya kujiunga na chama anachoona kinamfaa kwa wakati huo.
Back
Top Bottom