Wewe ni mbimbumbu lakini unajitutumua kwa kuwa tu una simu ya android unatype.
Tafuta mtu aliyesoma uchumi akufundshe kidogo tu masuala ya uchumi juu juu ili uone gap iliyopo ksti ya ulichoandika na uhalisia.
Umaskini sio kama ujenzi ea nyumba ukimaliza basi unakaa. Katafute data wakati...
umeandika ili nawe uonekane umesema lakini hili andiko lako halina mashiko.
Matumizi ya kodi zinaokusanywa na mapato mengine ya serikali huwa yanaonyeshwa namna yatakavyotumika kupitia bajeti kuu ya serikali inayosomwa bungeni kuanzia mwezi April hadi June kila mwaka ambapo kika wizara hueleza...
Vurugu za waislamu wewe hazitakuathiri? Sikukuu za kiislamu serikali itafanyaje maana wana haki kusherehekea sikukuu yao.
Mmiliki wa mali ana haki ya kuuza mali. BAKWATA hawajawahi kuuza mali ya muislamu isipokuwa,mali ambazo zipo chini ya mamlaka yake, hao waislamu ni kina nani mali zao...
Hivi unaelewq maana ya anarchy? Hivi nchi isipotawalika nini kitafuata hapo kama sio kuchinjana? Ili muajiri atoe siku ya mapumziko rasmi kuwezesha waumini waende kwenye ibada inabidi kuwe na tamko la serikaki la lini ni sikukuu na serikali haiwezi kuwapangia watu tarehe kwani serikali haina...
Kuna wakristo wapumbavu kutokana na chuki zao dhidi ya serikaki na CCM basi lolote linalokuja dhidi ya serikali na CCM wao wanashabikia tu bika kuangalia athari zake kwa mustakabali wa imani yao. Katika uislamu hakuna ajenda ya kuishi na dini zingine isipokuwa wote wawe waislamu, hizi hatua za...
Ila haitàwezekana serikali kumsikiliza muislamu mmoja mmoja au vikundi lukuki linapikuja suala la maslahi ya jumla ya waislamu, mfano tarehe ya skjukuu ya Iddi atasikilizwa nani pale watakapotofautiana?
Hii hukumu inaweza kuwa mwanzo wa anarchy katika uislamu na vurugu za uvunjifu wa amani...
Kuwa na akili sio maana yake kukubaliana na mnachotaka nyinyi wapumbavu .
Warioba hafanyi vitu kwa shinikizo, ukiona anesimamia jambo maana yake kwa akili yake ameona mantiki. Ndio maana hata nyinyi CHAEDEMA mlipomuendea na mapendekezo yenu mengine aliwakàalia pakepale baada ya kuekezwa.
Kama...
Warioba hawezi kusikiliza ushauri pumba kama huu.
Serikali haitaondoka madarakani kwa kelele za mitandaoni.
Wote wenye busara tunajua kuwa mazungumzo ndio njia bora ya kutatua changamoto za wakati.
Uliitaka azuiwe kusema? Hivi lini ninyi mtakuwa,na akili.
Museveni hajavamia nchi yeyote.
Kila nchi ina mipango yake ya kulinda ardhi yake.
Wewe ndio huna akili, Tanzania haitaingia vitani na Rwanda kwa kufuata wapuuzi kama nyinyi wa humu Jf. Tanzania haina ugomvi na Rwanda.
CCM itaendelea...
Unaongea porojo huku ukisukumwa na chuki. Tanzania haina mandate ya kuchagua nani atawale DRC.
Wananchi wa mashariki mwa DRC wana haki ya,kupigania kuishi katika nchi yao..
Reli ya SGR haikujengwa kwa ajili ya DRC mashariki tu bali kwa ajili ya uchumi wa mikoa ya Katavi. Rukwa na Kigoma...
Umemuuza Mpina sasa unataka uwadanganye wanachama wako tena.
Hicho kipengele cha mtu kujiunga walau siku saba kabla mchakato haujaanza na nchkjato wenu ulianza Mei. 2025 ulikuwa hukijui?
Mpina sasa anajuta kukufahamu.
Ndiyo raha ya jf, unabonyeza key board basi unadhani unajua kila kitu.
Endeleeni kulia kichapo mlichochapwa sio kidogo nchi saba kote magaidi yamepigwa.
Viongozi wa CHADEMA walinunuliwa kwa sababu walijiuza. sio kosa la CCM wàa Polepole.
Hata wewe ukiamua kuuza mwili wako halafu watu wakaununua kwa ajili ya starehe wa kulaumiwa sio wao ni wewe kwa sababu mwili ni wako..
Kila mtu ana hiyari ya kujiunga na chama anachoona kinamfaa kwa wakati huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.