Asante kwa ushauri mkuu. Japo tumeomba picha for identification purpose only na sio kuangalia uzuri ndio maana hata akituma passport inakubalika na ingekuwa wanatuma hard copy tungeomba passport lakini sio kila mtu ana digital version ya passport ndo maana tukaruhusu picha yoyote.
We feel like we can’t afford a degree holder but kama uko flexible na upo tayari kugrow na kampuni unakaribishwa maana kampuni ni mpya. Nicheki kwa hio email tuyajenge!
Habari!
Anatafutwa mdada wa sales and marketing. Kwa kiwango cha mshahara tutapendelea mwenye certificate au diploma. Awe na knowledge ya kutumia computer na digital marketing. Office ipo Boko - DSM. Send CV and recent photo to: joerk2045@gmail.com
Only shortlisted will be contacted.
Salaam wakuu.
Mwishoni mwa mwaka jana chuo kikuu cha ardhi kilitangaza nafasi za kazi na mwisho wa kutuma maombi ilikuwa ni tarehe 27/12/2020.
Naomba kama kuna waliofanikiwa kuitwa kwenye usaili/interview watufahamishe maana walisema only shortlisted candidates will be contacted.
kwa research ndogo nliofanya kila gari inafaa na wanashauri kutumia premium lakini sio kila gari inafaa kutumia unleaded. maana yake gari ambayo manufacturer ameshauri utumie unleaded ukitumia premium ni bora zaidi lakini gari ambayo wanarecommend premium unleaded ukitumia regular unleaded ni...
habari zenu wakuu!
nimekuwa nikifuatilia mjadala wa tofauti kati ya unleaded petrol na super/premium unleaded petrol nikagundua super unleaded ni nzuri kutumia kwa gari yoyote huku ikiwa na faida nyingi. naomba kufahamishwa kwa hapa tanzania ni kampuni gani au vituo vya mafuta vinauza hii super...
PCTL training Institute ipo dar es salaam maeneo ya kisutu graphic design basic ni 400,000 unasoma Adobe photoshop, illustrator na indesign miezi miwili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.