Habari wanasuaso Mimi ni mehitimu SUA kozi ya Bachelor of Environmental science and Management mwaka 2021. Naomba yoyote anisaidie niweze kupata kazi au mahali pa internship maana mtaani maisha sio poa..
Ninaitwa Louis M Fussi Nina umri was miaka 24, Nimemaliza degree ya Bachelor of Environmental science and management kutoka chuo kikuu SUA. Ninaomba nafasi ya kazi, kujitolea ili niweze kuepukana na vishawishi vya mtaani.
Kuachana na degree pia nina leseni ya udereva.
Namba za simu 0712730570
Ndugu zangu naombeni kazi yoyote, Maana maisha ni magumu kwangu.. Nina leseni ya udereva tofauti na hio degree pia nimeendesha taxi bubu moshi miezi mitatu lakini sahivi sina gari wala sehemu pakujitolea sijapata .. NAOMBENI MSAADA WENU..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.