Recent content by RIZIKI ALLYS MUHUNZI

  1. RIZIKI ALLYS MUHUNZI

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Maana hii vita inapiganwa karibu na nchi ya urusi ingekua kuna uhatari wa kuhofia kupoteza vita urusi ingeshamaliza hii vita,na kingine nilichokiona katika vita hawa nato walikuwepo toka mwanzo wa vita ndio maana wametumia kila aina ya mbinu lakini amna mafanikio sasa hapo nato wamepaniki...
  2. RIZIKI ALLYS MUHUNZI

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mrusi hii vita ameimudu na anaimudu vibaya sanaa toka tulipotokea mpaka hapa alipofikia mrusi hii vita yeye ndio muamuzi,tunao ogopa ni sisi tu uku lakini mwenyewe wala hana wasiwasi west hii vita washaishindwa na hawana ubavu wa kufanya lolote hapa walipofikia wanapumulia machine wenyewe...
  3. RIZIKI ALLYS MUHUNZI

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Daaah kaka uwe unatoa hata idadi nyingine kila siku wewe ni 1000 na mia tatu au mia 200 kila siku watu wanuawa sawa
  4. RIZIKI ALLYS MUHUNZI

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Na ndio maana tunajiuliza hawa watu wamepitia wapi mpaka wameingia Rostov kumbe wizara ndio imepanga mipango yote tuliyoiona hao waasi walikua NI wanajeshi WA Russia waliotoka ndani ya Rusia na ndio maana awakufanywa kitu wala hakuna aliyejeruhiwa waasi wanamuelekeza prigo nini aongee mchezo...
  5. RIZIKI ALLYS MUHUNZI

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kwa mchezo uliochezwa Jana pale Rostov ilikua ni mbinu ya kijasusi ambayo matokeo yake tutayaona hapo baadae ila Kwa akili niliyoiona Jana wale Askari walikua NI wanajeshi kutoka kambi za pale Rostov awakua PMC Wagner na ndio maana UKIONA damu imemwagika wala kurushiana risasi haijawai kutolea...
  6. RIZIKI ALLYS MUHUNZI

    Dogo namwona hayupo Serious na Maisha kabisa. Nataka nimfukuze Home

    Jichunguze wewe haupo Sawa Una msongo WA MAWAZO unajisumbua,relax enjoy Maisha Mzee muache dogo awe smart jaribu kua nae karibu utanielewa Kwa nini anaish ivyo yeye Hana stress kama wewe yeye ameamua kuishi Maisha hayo Kwa wakati huu lakini hata yeye ana ndogo zake...
  7. RIZIKI ALLYS MUHUNZI

    Mstaafu ambaye alishastaafu lakini hataki kustaafu 'anastaafishwa'

    Wapi uko Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
  8. RIZIKI ALLYS MUHUNZI

    Jeshi la Uhamiaji wamenirudisha Nyumbani wakidai sipo Fiti. Nimepoteza dira ya maisha

    Usikate tamaa ingia katika maombi ya kumshukuru Mungu katika yote uliyopitia muombe mungu sasa hitaji lako unalohitaji katika Maisha ya sasa usihofu kuna baraka ipo inakusubilia
  9. RIZIKI ALLYS MUHUNZI

    Tubadilishane uzoefu kuhusu nchi ya China pamoja na watu wake

    Habari, Naomba kufahamu kuhusu nchi ya China na watu wake kuhusu elimYayao na maisha yao kwa ujumla. Natamani mtoto wangu aende kusoma huko, pia ningependa kufahamu mengi yanayowahusu watu wa Uchina.
  10. RIZIKI ALLYS MUHUNZI

    Machimbo mazuri ya kupata bidhaa mbalimbali Kariakoo kwa bei nafuu

    Kwa anayehitaji spare za Simu kama vile Vioo vya simu na glass oca nauza BEI ya kutoka china nitafute 0717654167
  11. RIZIKI ALLYS MUHUNZI

    Mchepuko analazimisha nikalale kwake au atatembea na rafiki yangu

    Brother utapoteza muda wako Kwa huo mchepuko Kwanza hauna adabu pili aukuheshimu tatu ninmcharuko kwaiyo umeingia Choo cha kulipia bila Hela Fanya ujinasue Amna mwanamke hapo
Back
Top Bottom