Tuzo kama MTVMAMA2016 watz walihamasisha kupiga kula na watu wakapiga kweli mwisho wa siku hkn tuzo, unajua kwann?
MTVMAMA2016 hawakuangalia kura peke yake waliangalia kazi za wasanii pia.
ombi langu: wapunguze kuomba kura kama walifanya kazi nzuri watashinda tu.
Kabla ya tuzo kutangazwa au kutolewa wafanye kazi nzuri waache kuomba kura wkt wakijua hawajafanya chochote.
Wabongo hata akiwekwa na DRAKE atataka ashinde hata kama hajatoa nyimbo
Mambo,
Hapa katikati kumeibuka tuzo nyingi tu kwa wasanii wetu wa nyumbani kwa mfano InstAwards, sasa hawa wasaniii wamekuwa wakiomba kura kila siku wamesahau kuwa kazi nzuri ndo inafanya upigiwe kura.
Hata tuzo za kimataifa wasanii wanatumia muda mwingi kuomba kula na kuacha kufanya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.