Recent content by Rio Tinto

  1. R

    Export to Kenya From Tanzania

    Wadau Mbarikiwe nyote siku ya leo takafifu. Nina mipango ya ku Export bidhaa kutoka Dar kwenda Nairobi. Bidhaa zenyewe ni Finished Goods. Naomba mwenye kujua taratibu za kufanya Export na kodi zinazohusika katika mchakato mzima. Nitashukuru sana kupata miongozo yenu.
  2. R

    Wahamiaji haramu: Makonda aagiza kila mtaa jijini Dar es Salaam uwe na daftari la wakazi wageni wakija wasajiliwe

    Nawaomba Mods kuwacha uzi huu kwenye hili jukwaa pendwa la siasa. Kufuatia kutangazwa operation mpya ya kuwasaka wahamiaji haramu nchini na Mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda wiki hii. Hofu imetanda kwa wageni wanaofanya kazi na biashara hapa Dar na utekelezwaji wa agizo hilo la Mkuu wa Mkoa...
  3. R

    Mungu mbariki Salim Ahmed Salim. Yadaiwa anaumwa, yupo kwenye matibabu

    Mijitu mingine mijinga sana. Utanzania wako umekusaidia nini? Mwenzako alishapata kuwa Waziri Mkuu.
  4. R

    Nani ni nani urais wa JMT 2025 kati ya Dr. Kalemani, Paul Makonda na Dr. Shein?

    Dr. Hussein Mwinyi ndio president ajaye baada ya HE John Pombe Magufuli, sio udini lakini baada ya Magufuli anayefuata ni Muislamu. Nyerere, Mwinyi, Mkapa, kikwete, Magufuli, Mwinyi Jr Sent using Jamii Forums mobile app
  5. R

    HEKO TFF

    Sisi binadamu ni viumbe wa ajabu sana, wagumu kuelewa, wepesi kusahau. Pia ni wepesi kulaumu mambo yanapokwenda ndivyo sivyo lakini wagumu kupongeza pale mambo yanapoenda vizuri. Leo nataka niwe tofauti na wengine kwa kutambua mafanikio ya uongozi wa sasa wa TFF chini ya Ndugu Wallace Karia...
  6. R

    Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

    Hongera Taifa Stars, Hongera Tanzania. Kuna walikubeza na wataendelea kukubeza lakini leo chini ya Uongozi Wako Tunaenda Egypt June 2019. Ulivomteua Emmanuel Amunike tulikubenza sana. Leo unaingia rasmi katika historia ya nchi yetu Tanzania. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. R

    Iko Siku John Magufuli atajisomea makala hii akiwa Chato.

    I admire Rostam Aziz huyu jamaa ana akili kubwa sana. Toka enzi za Mkapa mpaka sasa zama za Magufuli yupo katika medani za juu za siasa za hapa kwetu. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. R

    Waraka Wa Wanachama wa YANGA kwa Tff

    Hakika huu waraka ni wakandambili, hovyo kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. R

    Kwanini TFF hutangaza mapato ya mechi za uwanja wa Taifa tu? Mara nyingi zikiwa za Simba vs Yanga!

    Tatizo hufuatilii tu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. R

    Yanga Vs Simba zaingiza zaidi ya Millioni 300,Mgawanyo wa mapato huu hapa:

    Siku hizi kuna uwazi wa mapato, zile figisu figusi za zamani TFF hazipo Sent using Jamii Forums mobile app
  11. R

    Waziri wa zamani, Profesa Juma Kapuya afunga ndoa na binti wa miaka 25

    Wanaume wa Dar utawajua Tu, kushabikia habari za wanaume wenzao Sent using Jamii Forums mobile app
  12. R

    Wananchi wajipanga kumzomea Wallace Karia Uwanjani , Ujinga wake wa kumtukana Tundu Lissu wamponza

    Lazima kuna jambo nyuma maana kamwandama kinoma, inawezekana akilala anamuota Karia, hakuna kitu kibaya kama kugongewa mke Sent using Jamii Forums mobile app
  13. R

    Wananchi wajipanga kumzomea Wallace Karia Uwanjani , Ujinga wake wa kumtukana Tundu Lissu wamponza

    Mkuu mbona hasira nyingi, alikula kiboga? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. R

    Wananchi wajipanga kumzomea Wallace Karia Uwanjani , Ujinga wake wa kumtukana Tundu Lissu wamponza

    Zilikua ni stori za alinicha kutoka kwa mleta mada ambaye ni dhahir shahir ana chuki za wazi na wivu wa kike na Karia pitia posts zake zote utaona. Sijui aligongewa. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom