Baba Askofu Rev. Dr. Benson Bagonza (PhD) Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe, katika makala yako umezungumzia namna ambavyo mtu anamfanyia mtu mwingine jambo na kisha kutangaza adharani kuwa amemfanyia kitu fulani. Bila shaka uliilenga serikali ya awamu ya tano kwa kutangaza maendeleo iliyowaletea...
G Sam,
Afadhali umetanabaisha kwamba tunaweza kufikiri mnatumiwa na Mabeberu, na huo ndio ukweli. Hivyo basi, fanya ulichotumwa ili upate ujira wako. Tunachofahamu ni kwamba Mungu amemtumia Rais wetu kutuonesha njia ya kuishi japo mnasema kunao huo ugonjwa.
Nawazungumzia Askofu Emmanuel Bandekile Mwamakula na Askofu Dr. Benson Bagonza. Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu watumishi hawa wapakwa mafuta wa kanisa hapa nchini. Nashindwa niwaweke kundi lipi lakini naona niwaite watumishi wa kanisa.
Wakati Taifa lilipopitia wakati mgumu wa maambukizi...
Uchaguzi wa serikali za mitaa uliharibika kutokana na Ujinga wa wapinzani. Kwani walipewa maelekezo kutoka kwa wafadhili wao kuwa wasusie uchaguzi ili endapo Nchi itaingia katika machafuko, uchaguzi Mkuu usiweze kufanyika. Kubalini kuwa hamna hoja na sera za kuwaeleza Watanzania.
Wapinzani mkiona mnayemtendea Ubaya halipizi, Mnamchukia lakini yeye anawaonesha Upendo. Mnamdharau lakini anawaheshimu. Mnamtuhumu wala hajibu tuhuma zenu.
Mnamtenga lakini ameendelea kuwaonesha Upendo na umoja. Mnamshusha anavumilia. Mnamnunia, yeye anawachekea. Mnamhujumu yeye anasonga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.