Lakini wadau kama nakumbuka kuna uzi uliletwa hapa kwamba wale watakaoshindwa katika kesi ya kumuaga kamanda Mawazo ni manyumbu, sasa nashindwa kuelewa humu ndani manyumbu ni akina nani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.