Kuomba ushauri wa kuacha kazi kwa watu ambao wameajiriwa ni kupoteza muda tu,hawatakuwa na la maana kukushauri zaidi ya kukujaza uoga na mwisho wa siku hutaacha hiyo kazi na ndoto zako zitapotea.Fanya kile moyo wako unapenda,usifanye kile waajiriwa wanapenda!....Nimemaliza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.