Ninaona kama umelenga kuwasema wanasiasa. Hapo ungesaidiwa kujenga hoja.
Hao viumbe hawaeleweki. Leo wakiambiwa mjamzito afutwe shule wanapiga meza wote na wakiambiwa au ..... asome tu na tumbo lake wote tena wanashangilia
Kwaufupi hawaeleweki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.