Recent content by Rigicha

  1. Rigicha

    Mpwapwa Watoto wawalazimisha watoto wenzao wafanye mapenzi na Mbwa.

    Siyo vibanda vya video tu, hata nyumbani kuna tamthilia za kipuuzi sana zinaoneshwa na watoto wanatazama. Tena kuna wazazi mamburula ambao wanaamini kumnyima mtoto kutazama upuuzi wa tv usiku na mchana mrefu ni kumuonea. Wanadhani wakishanunua tv basi ni haki watoto kuangalia kila...
  2. Rigicha

    Mkutano wa Obama na marais wa Afrika ni aibu kwa Afrika

    Wewe mshipa tu. Huna lolote. Kiswahili shida. Sijui umetokea kule ziwani? Huna lolote.
  3. Rigicha

    Mkutano Wa CHADEMA Butiama

    Nasubiri kuona kama Lissu ana ubavu wa kuporomosha matusi dhidi ya Baba wa Taifa hapo hapo Butiama! Hao wanaume hawachelewi "kumtema".
  4. Rigicha

    Mkutano wa Obama na marais wa Afrika ni aibu kwa Afrika

    Rudi shule ujue. Ukiishia madrasa huwezi kujua vitu kama hivi. Biology unajua inakofundishwa au hujui?
  5. Rigicha

    Mkutano wa Obama na marais wa Afrika ni aibu kwa Afrika

    Kama wale wa dini yako waliokataa shule na sasa wamebaki wakishutumu mfumo fulani kutokana na ugumu wa maisha unaowakabili. Wanataka vyeo vya mezani bila shule. Tehe tehe tehe!
  6. Rigicha

    Mkutano wa Obama na marais wa Afrika ni aibu kwa Afrika

    Wewe mburumundu acha ukuda. Unaharibu mada hapa. Kiswahili hujui, Kiingereza hujui. Mleta mada amekosea wapi wewe, ina maana hujui ukimwi ulivyoletwa duniani.
  7. Rigicha

    No negotiations with FDLR, says US envoy

    Huyu mtoto ni janga ndani ya Chadema. Hataki kueleza namna CDU wanavyoifadhili Ukawa. Amekomaa na mambo yaliyomzidi umri.
  8. Rigicha

    Umewahi kuibiwa nini ukaumia sana rohoni? Mi niliibiwa hivi

    Mwaka 1987 niliibiwa demu, tena na mpiga dogori tu! Iliniuma sana.
  9. Rigicha

    Majambazi wampiga risasi mke wa kigogo Arusha

    Maelezo yanajichanganya. Alipigwa risasi. Akaendesha kilometa moja. Akazimia getini. Hao majambazi hawakupora kitu. Maelezo yanatia shaka!
Back
Top Bottom