Hivi upo sawa kweli wewe
Nimekuuliza kilichomfanya Ibrahim 2017 atoke Simba kuja Yanga ni Nini? Na kwanini alirud tena simba baada ya mkataba wake kuisha?
Kama kweli alikuwa ana mapenz na hiyo timu yake kilichompeleka Yanga kipindi kile ni nini??
Ivi unafikiri kwanini Kibadeni(MwanaSimba...
Yani wewe kumbe hanangwa hivi?? Aiseee[emoji1]
Ibrahim Ajibu aliyetakiwa na Tp Mazembe akakataa? Unaushahidi huo kwanza kama alikataa au ndo maneno yenu mnayoongopeana mkikaaa vijiweni
Alaf sababu ya Ibra kurudi Simba hauijui au unajitoa fahamu tu, Hivi kwa ukata ule uliokuwa Yanga kipindi kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.