Recent content by Ridh1

  1. R

    BN:Utopolo wameanza kutimuana huko

    Wamefanya jambo la maana Mfikirwa yupo slow sana
  2. R

    Barakah Da Prince asusia interview

    Kipo kitu kati ya aliyekuwa mke mtarajiwa wa Baraka(Najma) na Ali Kiba nuksi sana yule kijana[emoji1]
  3. R

    WCB Wasafi wanaenda kumtambulisha msanii mpya November 2023

    Dvoice_ginnii Dogo anajua sana na kwa pale Wcb naimani atafanya vizuri sana Kwa mziki wake wa singeli
  4. R

    Ranga Chivaviro yeye ni Yanga tu

    Ingia kwenye page yake Instagram
  5. R

    Ranga Chivaviro yeye ni Yanga tu

    Kutokana na mila pamoja na desturi ya kwetu huyo mchezaji hafai kucheza Tanzania, KATLEGO ni mchezaji mzuri lakini kashajitangaza kuwa ni upinde
  6. R

    Simba wanaweza kufuzu leo nusu final

    Hata mimi naona dalili hizo
  7. R

    20 Kali za Judith Mbibo Lameck Wambura

    Na pia kipindi hiko Jidee alikuwa mke wa mtu pia Alimkosea sana, huwez kutongoza mke wa mtu ilihali mumewe unamfahamu
  8. R

    FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

    Halafu anajikuta anajua kila kitu kumbe hanangwa tu[emoji1] Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
  9. R

    Kuna nyimbo unaisikiliza na huikinai siku zote?

    Hizo nyimbo zote nazipenda sana, naomba nikuongezee na (Mapenzi ni ya wawili-Maunda Zoro)
  10. R

    Simba SC kwanini mnazubaa na kuwa wazembe hivi?

    Hivi upo sawa kweli wewe Nimekuuliza kilichomfanya Ibrahim 2017 atoke Simba kuja Yanga ni Nini? Na kwanini alirud tena simba baada ya mkataba wake kuisha? Kama kweli alikuwa ana mapenz na hiyo timu yake kilichompeleka Yanga kipindi kile ni nini?? Ivi unafikiri kwanini Kibadeni(MwanaSimba...
  11. R

    Simba SC kwanini mnazubaa na kuwa wazembe hivi?

    Ninachofurahi kwasasa nimeshajua uwezo wa akili yako, Yani wewe ni hopeless kabisa aisee[emoji1]
  12. R

    Simba SC kwanini mnazubaa na kuwa wazembe hivi?

    Yani wewe kumbe hanangwa hivi?? Aiseee[emoji1] Ibrahim Ajibu aliyetakiwa na Tp Mazembe akakataa? Unaushahidi huo kwanza kama alikataa au ndo maneno yenu mnayoongopeana mkikaaa vijiweni Alaf sababu ya Ibra kurudi Simba hauijui au unajitoa fahamu tu, Hivi kwa ukata ule uliokuwa Yanga kipindi kile...
  13. R

    Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

    Timu haina ladha kabisa Mpira mbovu yani hovyo hovyo tu
Back
Top Bottom