Acheni propaganda hizo, aliwakingia kifua wapi, hao mama ntilie hawakufanya biashara kabla ya yeye kuwa rais?, Walipokuwa wanaondolewa hawakutakiwa kiwepo, wangeenda kuuza chakula mlangoni mwa ikulu ungeona angefanyaje..
1-Kuua ni mapungufu ya kibinadamu?
2- kubambikia watu kesi ni mapungufu ya kibinadamu?
3- kupenda kuabudiwa kama Mungu ni mapungufu ya kibinadamu?
Hauko sawa wewe
Watu wanaomsifu Meko wanaangukia ktk moja ya makundi haya;
1- Makada was CCM, hawa wanamsifu bila choice, wakati mwingine kinafiki, kwasabu wasiposifu waaonekana wasaliti.
2- Watu wasio wapambanaji (kula kulala), hawa hawaoni changamoto za kiuchumi ambazo watu wapambanaji wanaziona kwenye...
Nimeishi Dar, Morogoro na Iringa, Dar kulikuwa na shida ya maji, ila Moro na Iringa ahida ya maji iliisha tangu Kikwete era, so nothing special hapo ni muendelezo, asionekane kama mkombozi wakati alikuwa na roho mabaya sana, katili mno!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.