Natafuta kazi/ kibarua

Natafuta kazi/ kibarua

Juz kuna baunsa kanipiga pale ubena bar kama unaweza vagi tukaliamshe dude ntakulipa 50k
 
Beside Kalaga baho ile issue ya kupeleka matunda Kwa gari kiwandani, uli ifanya??
Hapana mkuu bado Niko zanzibar. Sijarudi bongoland ila ipo kweli na jamaa wanapiga hela. Nadhani mtaji wako kama unafika 3 m ifatikie mana mkupuo mmoja unapiga mpaka laki 9 kama faida. Jamaa wanachukuaga maembe mkuranga, kilwa na mpaka Lindi na mtwara zile zinaitwa Nchichila. Hata Tanga mkuu.. I swear nikitoka kujitafuta kuja dsm biashara yangu ni hiyo

Ukipita pale mwandege nje ya kiwanda Cha bahresa utakuta gari zinasubiria kupima. Hata ukwaju naskia ni hivyohivyo. Lakin pia ukwaju Zanzibar ni Dili sana mana kina mama wamejiajiri kuuza juisi za matunda. Juisi ni biashara kubwa kwa kina mama unguja na Wengine watume zao ambao ni wanajeshi wanawasaidia kuuza mitaani huko
 
Hapana mkuu bado Niko zanzibar. Sijarudi bongoland ila ipo kweli na jamaa wanapiga hela. Nadhani mtaji wako kama unafika 3 m ifatikie mana mkupuo mmoja unapiga mpaka laki 9 kama faida. Jamaa wanachukuaga maembe mkuranga, kilwa na mpaka Lindi na mtwara zile zinaitwa Nchichila. Hata Tanga mkuu.. I swear nikitoka kujitafuta kuja dsm biashara yangu ni hiyo

Ukipita pale mwandege nje ya kiwanda Cha bahresa utakuta gari zinasubiria kupima. Hata ukwaju naskia ni hivyohivyo. Lakin pia ukwaju Zanzibar ni Dili sana mana kina mama wamejiajiri kuuza juisi za matunda. Juisi ni biashara kubwa kwa kina mama unguja na Wengine watume zao ambao ni wanajeshi wanawasaidia kuuza mitaani huko
Ni pm Kaka tuzungumze vizuri, huenda Kuna mwanga mzuri.
 
Nakam mjasiriamali unawazo la kibiashara la mtaji wa 30 to 50k unaweza leta hapa.....
Liwe la kutembeza au vyovyote vile Mimi Sina noma litafanyiwa kazi

NB:lisiwe la kupika pika
Nichek pm mkuu kama hutojali
 
Nilipigwa ban shem 😂😂😂
Nimekuja kizimkazi nikashindwa kukutafuta nna ban banah.!! Ila narudi tena July
Oh, karibu sana. Sasa huwaga mnafanya nn mpaka mnapigwa bani? Mana hizi za bani ni za vijana wanaobalehe humu jf na tunawajua. Wewe ulifanya nn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom