Natamani angeweza kufanya hivyo. Asiwe na mazoea yoyote natamani hata Dylan afanye wasionane kabisa. Hamisa anaweza akiamua
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu hana, utu hana....kiki kwanza utu baadae unafikiri ataongea nini zaidi? Yaan mimi najiuliza kwann hamisa anashindwa kukaa mbali na hii familia?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.