Kupata kipaimara au kutofunga ndoa haijalishi ila kam ulibatizwa unahesabiwa km ni mkatoliki kilichofanya wasusie ibada ni kwamba alikuwa hashiriki jumuiya ndio inajua watu wake hata km alikuwa anaenda kanisani AF hashiriki jumuiya kanisa halimjui kwa hiyo wakuthibitisha km wew ulikuwa unasali...
Sio kweli jumuiya ndio inakujua wew na sio kanisa hats km ukiwa unaenda kanisani na usipoenda jumuiyani nothing hutozikwa kwa ibada
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana jamii forum naomba ushauri nina mpenzi wangu ambae hapo mwanzo alikuwa ni mzima lakini baada ya kuachana kidogo kuringana na mazingira Mara tulipo rudiana nilimwomba tupime ila alikuwa akinizungusha ila wakati napekua baadhi ya vitu vyake niliona kadi ya mahudhurio ya clinic yaan CTC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.