Mtu anayetumia dawa za kupunguza makali ya VVU ana asilimia ngapi za kueneza UKIMWI?

ricious

Member
May 20, 2017
8
1
Wana jamii forum naomba ushauri nina mpenzi wangu ambae hapo mwanzo alikuwa ni mzima lakini baada ya kuachana kidogo kuringana na mazingira Mara tulipo rudiana nilimwomba tupime ila alikuwa akinizungusha ila wakati napekua baadhi ya vitu vyake niliona kadi ya mahudhurio ya clinic yaan CTC card nilipo mwuliza alikubali na akanambia kuwa kwa sababu yeye ameshaanza dawa uwezekano wa maambukizi ni mdogo naombeni ushauri nahisi nimesha pata maambukizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu hutumii glove? uwezekano wa maambukizi ni mdogo sawa lkn kuambukizwa kuko pale pale kama utafanya bila kuweka glove a.k.a. condom
 
Huyo mwanamke hafai, kama alijua ameathirika kwanini alikupa kavukavu?

By the way kapime mkuu. Suala la kupata au kutopata yote yanawezekana.

Sio kila sex na HIV+ utapata maambukizo. Inategemea na friction kama friction ilipelekea michubuko utakuwa kwenye hatari .

All in all ,kapime mkuu.
 
Wana jamii forum naomba ushauri nina mpenzi wangu ambae hapo mwanzo alikuwa ni mzima lakini baada ya kuachana kidogo kuringana na mazingira Mara tulipo rudiana nilimwomba tupime ila alikuwa akinizungusha ila wakati napekua baadhi ya vitu vyake niliona kadi ya mahudhurio ya clinic yaan CTC card nilipo mwuliza alikubali na akanambia kuwa kwa sababu yeye ameshaanza dawa uwezekano wa maambukizi ni mdogo naombeni ushauri nahisi nimesha pata maambukizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda naye CTC,mkacheki viral load na kupewa ushauri zaidi,ukimnyanyapaa atakufanyia kusudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chance ya maambukizi ni kubwa ikiwa mtachubuka na hamtotumia condom wakati wa tendo la ndoa.

Ila usimuache kisa kapata maambukizi labda tu uwe na sababu nyingne unaeza mkimbia huyo ukaja ukapata maradhi makubwa zaidi ya ilo mdn kansa ...moyo...figo...ini n.k



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mwanamke hafai, kama alijua ameathirika kwanini alikupa kavukavu?

By the way kapime mkuu. Suala la kupata au kutopata yote yanawezekana.

Sio kila sex na HIV+ utapata maambukizo. Inategemea na friction kama friction ilipelekea michubuko utakuwa kwenye hatari .

All in all ,kapime mkuu.
Hujui hulka zetu huwa tnafurahi tupate wote au tukose wote!
 
Anayetumia dawa kwa kuzingatia na mfanyapo maandalizi yakutosha kabla ya kufanya tendo la ngono ana karibu 95% za kutoambukiza hiyo asimia 5 ndio chance ya kusababisha maambukizi kwa mwenzi wake.


NB: Kapime Ujijue Hali yako na wewe ili Kama unayo maambukizi uanze Dawa Kupata Virusi vya Ukimwi sio mwisho wa Maisha.
 
Wana jamii forum naomba ushauri nina mpenzi wangu ambae hapo mwanzo alikuwa ni mzima lakini baada ya kuachana kidogo kuringana na mazingira Mara tulipo rudiana nilimwomba tupime ila alikuwa akinizungusha ila wakati napekua baadhi ya vitu vyake niliona kadi ya mahudhurio ya clinic yaan CTC card nilipo mwuliza alikubali na akanambia kuwa kwa sababu yeye ameshaanza dawa uwezekano wa maambukizi ni mdogo naombeni ushauri nahisi nimesha pata maambukizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee pole sana mkuuu ,,, Huyo mpenzi wako ni MUUAJI nasijui kwann binadamu hususani wabongo wana ubinafsi huo sana ....hakupaswa kukufanyia ivo .

BTW kupata maambukizi though anatumia dawa uwezekano huo ni mkubwa ,ikiwa tu mlipata michubuko au hamkutumia kondom .

N.b ,, msisahau kua kunyonyana ndimi namidomo au maziwa au uume au uke au kutumia kidole uken ikiwa mmoja wenu anamichubuko basi uwekano wa kuambukizwa ni mkubwa !!.


Nikushauri tu , piga hatua nenda kacheki afya yako !!.
 
Chances ni almost to zero
Madawa yanafanya mwanamke awe na undetected HIV ambayo hufanya maambukizi kuwa chini sana

IQ standard
 
Back
Top Bottom