Recent content by Richiethegemini

  1. R

    Nimechoka kuwa mlinzi kama wanamla acha wamle tuu!

    Wapo kweli kwenye 100% maybe 1% tu 😃
  2. R

    Nimechoka kuwa mlinzi kama wanamla acha wamle tuu!

    Mzee Baba sijui kama anaelewa hili 😆😆 ,,
  3. R

    Kwenye Portal ya Wizara ya Afya hakuna kipengele cha maderava wakati kwenye Tangazo wameweka nafasi hizo

    Yes hili ni fake ,,,,Ila lile la wizara ya afya ajira 1625 sio fake watu waelewe hapo maana kuna mchanganiko naona
  4. R

    Kwenye Portal ya Wizara ya Afya hakuna kipengele cha maderava wakati kwenye Tangazo wameweka nafasi hizo

    Hili nalo fake??? Au like la tamisemi ajira za walimu ????maana hili lipo kwenye website ya wizara ya afya 🤔
  5. R

    Chuo kipi ni kizuri kwa course ya diploma in electrical engineering hapa bongo?

    Dit pia unaweza kwenda Ila ukasome shule ya pale sio mchezo
  6. R

    Chuo kipi ni kizuri kwa course ya diploma in electrical engineering hapa bongo?

    Shule ya pale ni vitini tu ,,Ila kama unataka kuwa competate kwenye umeme then ATC au st Joseph ni vyuo Bora kabisa
  7. R

    Chuo kipi ni kizuri kwa course ya diploma in electrical engineering hapa bongo?

    Dogo nimesoma Arusha tech diploma ,,bachelor MUST ushahuri wangu nenda Arusha tech kasome
  8. R

    Biomedical engineering

    Habarini wadau ! Naomba kuuliza kuhusu hii kozi mpango wa serikali katika ajira zake maana ni kama imesahaulika sana au haitambuliki? Tunajua serikali iliajiri mara moja tu toka 2018 shida inakuwa wapi?Mwenye taarifa sahihi ?
  9. R

    Hivi mwakani kuna lolote

    Na sisi biomedical technician ndo tumesahaurika dah
Back
Top Bottom