Tusipeleke lawama tu kwenye vyuo, sku iz watanzania(wanachuo) wanapenda anasa mno, kusoma hamna, assignment wanafanyiana ata test af tuongoze? Wanashinda kwenye mitandao kujadil utumbo( Diamond, Ronaldo, mambo ya club nk) kiufup wanatumia asilimia chache sana kujisomea nje ya lecture. Wanasoma...
Hamna mkuu saiv UDSM imeshuka sana mana miaka iliyopta ata top four ilikua inaingia bt ni kile kpind ss tunasoma. Af inabd mjue vigezo sio elimu tu kwenye ranking wanafuatilia mambo meng ata miundombinu na mambo mengne meng.
Habar zenu wadau! Hope mnaendelea vzuri na miangaiko ya hapa na pale. Naulizia mashamba ya kukodi au kununua kwa mkoa wa Geita. Vigezo ni maji yawe krb either krb na mto au ziwa na liwe virgin af bei nafuu, maana hari ya uchumi nafkir mnaifaham kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.