Nakubali utabiri kwa hao waheshimiwa
Kwani mi natokea kati hayo majimbo kweli wameacha kutetea maslahi ya wapiga kura na kuanza kutafuta umaarufu kwa kupinga hâta mambo ya maendeleo.
Huo ni upotoshaji na kuogopesha uma Wa watanzania Edward Lowassa si mtu wakulipa vizazi. Ni mchapa kazi na hana ubaguzi ni mpenda maendeleo ,tembelea Jimbo lake uone. Jamani tumuunge mkono.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.