Recent content by Richard Shanghvi

  1. R

    Itakuwa kibao cha jeshi hakukiona...

    Juwa hatia kabla ya kuhukumu.
  2. R

    Itakuwa kibao cha jeshi hakukiona...

    Kwa muonekano wa sare walizovaa; hawa sio wanajeshi wa Tanzania.
  3. R

    Vijue vyeo, Majina na Alama za Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ)

    Ukitaka skills za kijeshi kisha ubaki uraiani (reserved army) nenda mgambo ua JKT.
  4. R

    Wamisri wa kale walikuwa weusi(Africans)

    Ni kweli Afrika inatakiwa idai yote yaliyo yake (rightful ours) lakini hebu tujiulize hao weupe walioko Misri watakwenda wapi!. Hii ni sawa na Afrika kusini. Ila kwa Misri ni zaidi kwani Wabantu hawapo kabisa na kama wapi ni wachache mno kuweza kuanza kupigania ardhi yao. Uingiliaji wowote...
  5. R

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Kama dunia ingalikuwa tanbarare basi ingalikuwa na mwanzo na mwisho. Hebu kwa mfano kodi ndege kubwa yenye uwezo wa kusafiri mwendo mrefo kisha ondoka nayo Dar es Salaam elekea kaskazini au kusini bila kusimama wala kupinda uone kama hujarudi tena Dar. Au elekea magharibi au mashariki kisha uone...
  6. R

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Mtoa mada elewa kuwa Quruan ilikuja miaka 600 baada ya Bible. Hata hivyo Galilei Galilaya alishatoa theory yake kuwa dunia ni duara miaka mingi nyuma.
  7. R

    MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

    Martin Luther hakuwahi kuwa Askofu. Moja ya sababu zilizomfanya ajitenge ni pale alipoukosa Uaskofu alioutarajia kwa hamu kubwa kwa sababu alikuwa anapendwa na waamini wengi wa mji huo.
  8. R

    MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

    Mada yako ina mapungufu mengi. Jipange kabla ya kutoa mada. Hapa unachoongelea wala hakiko wazi.
Back
Top Bottom