hamfcb
JF-Expert Member
- Dec 22, 2015
- 588
- 666
-Hii thread inaonesha kuna watu ni wavivu sana wa kujifunza na kusoma.
-Mleta mada ameshaelezea kuwa jua ndio linazunguka dunia na sio dunia kulizunguka jua. Lakini cha ajabu watu bado wanaendelea kuuliza swali hili.
-Mwanzoni wa Thread mleta mada alisema kuna kundi la watu ndio wapo nyuma ya haya mambo, so hiki kikundi sio kipo Marekani tu au Russia tu. NO kipo kila mahali. Na hiki kikundi ndio kimeaminisha jamii kuwa mwanadamu ametokana na Sokwe.
-Tuliambiwa kuwa wanadamu tumetokana na nyani na akilini mwetu tukakataa katakata kabisa. Je, una uhakika gani kukwmabia kuwa dunia inalizunguka jua?
Mungu alimwambia Joshua, Simamisha Jua ili upigane vita na Jua likasimama, kwanini asingesema simamisha dunia ikiwa dunia ndio inajizungusha?
Kikundi gani hicho kilichosema binadamu anatokana na nyani? Weka jina usiongee bila kuwa na facts. Hakuna mwana science anaesema binadamu alitokana na nyani na hakuna mwana science anaesema dunia ni flat hayo yote mnayosema nyie ni conspiracy theories sio facts. Dunia kuwa duara anajulikana tangia enzi za zamani sio jambo jipya. Wewe sema hicho kikundi chako kilianzishwa mwaka gani?