Bashite anatafuta laana.hakuna alipambana na Mtumishi Wa Mungu akapona.Maana Biblia inasema Ukigusa watumishi Wa Mungu umegusa mboni ya jicho la Mungu aliye hai
Sent from my 4034X using JamiiForums mobile app
Mungu katika haki husimama mwenyewe.Mungu ameamua mwenyewe kui gilia suala la Lema Mtumishi Wa Mungu.
Hakuna atakayesimama katika jambo hili.Bwana Wa mjeshi mwenyewe ameibeba agenda hii .
Hakuna vigezo.Biblia inasema asiyemwaminifu kwa kidogo huwa siyo mwaminifu kwa kikubwa pia.kama Makondo alidanganya katika elimu take hawezi kuwa mwaminifu kwa mengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.