Recent content by richard faraja

  1. richard faraja

    Napinga Barabara za umma kupewa majina ya watumishi wa umma

    Huyu mfugale, kwa jinsi alivyobuni na kusimamia madaraja mengi hapa nchini,Mimi binafsi naweka wivu pembeni,anastahili kuenziwa namna hiyo, wabongo tuna matatizo ya kutopenda vyetu,daraja lingeitwa la Uhuru Kenyatta nadhani usingehoji
  2. richard faraja

    Ni Vyuo gani vya elimu ya juu vinaongoza kwa kuchukua div 3 and failures?

    jamani,nahoji upeo wa mawazo wa muuliza swali, na kama kweli yeye ni msomi au m2 asiye na elimu,naona bado ana mawazo ya mwaka 47 kwamba hapa bongo chuo ni udsm tu,hayo ni mawazo mgando,nadhan mmemshauri vzr juu ya kufanya research za waliojiriwa mwaka 2009/10 na aangalie hao anaoamini wanatoka...
  3. richard faraja

    How to use JamiiForums effectively

    poa jf ipo juu sn, nahisi nitafaidika na mengi
Back
Top Bottom