Recent content by richard chiha

  1. richard chiha

    LATRA: Mabasi yasiyotumia tiketi mtandao mwisho Septemba 1

    Naomba ukubaliane na mimi kwamba mfumo uuh utaokoa ma billioni yalikuwa yanapotea kwenye unknown market ya wapiga debe ambao hata kodi hawalipi.
  2. richard chiha

    LATRA: Mabasi yasiyotumia tiketi mtandao mwisho Septemba 1

    Ukipanda ndani ya bus popote pale unapata ticket yako ya mtandao!.
  3. richard chiha

    Hivi Madalali wanasomea au ni ujuzi binafsi?

    Nimekupata vizuri kabisa udadali wa real estate kubwa nao ni ujanja?
  4. richard chiha

    Hivi Madalali wanasomea au ni ujuzi binafsi?

    Ni kweli kabisa Japo soko la ajira limekuwa ngumu inawalazimu masomo wa chukue kazi zenye maslahi japo sio fani zako hivyo kuongeza ufanisi katika sekta hizo lakini wanapunguza ufanisi kwenye fani binafsi
  5. richard chiha

    Hivi Madalali wanasomea au ni ujuzi binafsi?

    Kama kuna maslahi mapana na yanataka mtu msomi mmi ntafanya
  6. richard chiha

    Hivi Madalali wanasomea au ni ujuzi binafsi?

    Nimekupata vizuri kaka shukrani.
  7. richard chiha

    Nape, Mwijage, Musukuma na Kanyasu; hoja zenu zina msingi. Nini tufanye tutoke hapa ili biashara zipate na TRA apate?

    Ukweli ni kwamba wanao fanya decision making ma ofisini hawajawahi kufanya biashara na kukudiriwa kodi such as VAT huwezi lea mtoto wa mtu kwasababu hujui
  8. richard chiha

    Biteko: Rais Magufuli anatamani kuona Kiwanda cha kusafisha madini kinaanza kazi

    HIVi waungwana serikali inapata mapato makubwa sana kutoka kwenye sekta ya madini kwanini isije na mbinu ya kuwainua hawa wachimbaji wadogo wadogo kwa kuwapatia mashine hata kama kwa kukodi kwa bei ambayo ni nafuu watu wachimbe madini na kulipo kodi iih pia inakuwa ni uwekezaji mzuri kama...
  9. richard chiha

    Hivi Madalali wanasomea au ni ujuzi binafsi?

    Wakuu samahanini hivi awa madalali Sioux wa nyumba makubwa au hisa ambao ni binafsi na serikalini huwa wanasomea au ni ujuzi binafsi?
  10. richard chiha

    The next Tanzania president 2025 should be Kassim Majaliwa

    Sasa kwa misingi ipi aweRais hujatuweka at which point tutampa urais?
Back
Top Bottom