Recent content by Rich Dad

  1. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Pharmacy (duka la dawa) linalouzwa Kigamboni

    Bado Nina ujitaji
  2. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Pharmacy (duka la dawa) linalouzwa Kigamboni

    Kwa mwenye kuuza duka la dawa kigamboni nahitaji. Iwe ni biashara yenye vibali vyote muhimu na pia unioneshe daftari la mauzo na location iwe nzuri ya kueleweka. Nicheki inbox tuzungumze zaidi.
  3. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Natafuta madarasa ya kukodisha Kigamboni

    Bado uhitaji upo
  4. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Natafuta madarasa ya kukodisha Kigamboni

    Kuanzia Saba Kaka. Nicheck inbox kama unayo
  5. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Natafuta madarasa ya kukodisha Kigamboni

    Hii issue bado haijafanikiwa
  6. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Natafuta madarasa ya kukodisha Kigamboni

    Bado natafuta .....
  7. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Natafuta madarasa ya kukodisha Kigamboni

    Hapana mkuu nahitaji madarasa tu. Kwani wewe unashule iliyosajiliwa? Naomba nicheck inbox
  8. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Natafuta madarasa ya kukodisha Kigamboni

    Natafuta madarasa ya shule yaliyokamilika kwa ajili ya kukodisha kigamboni. Kama unayo taarifa yeyote tafadhali nicheck inbox
  9. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mtaalam wa zao la Kokoa ( Kakao) mkoa wa Morogoro au Tanga

    Humu hakuna MTU kweli anayejihusisha na kilimo cha Kakao? Hata trader basi kama yupo naomba tuongee.
  10. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mtaalam wa zao la Kokoa ( Kakao) mkoa wa Morogoro au Tanga

    Hahahaha 🤣😂😂 ni makosa Tu ya uandishi mkuu. Nilimaanisha maujuzi
  11. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mtaalam wa zao la Kokoa ( Kakao) mkoa wa Morogoro au Tanga

    Ngoja tusubiri wadau wanaofanya aina hii ya kilimo watusaidie kutupatia maujuzi
  12. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mtaalam wa zao la Kokoa ( Kakao) mkoa wa Morogoro au Tanga

    Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu. Naomba mzoefu wa kilimo cha Kakao kwa mkoa wa Tanga au Morogoro ani pm tuwasiliane. Nahitaji kupata uzoefu na kujifunza zaidi kwa MTU anayefanya aina hii ya kilimo kabla ya kuingia kwenye ukulima wa hili zao. Najua Kyela ni wazoefu zaidi lakini...
  13. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Aliyenikataa karudi kwa mbwembwe...

    Heshima ni kitu adhimu hata kwa waliokutenda. Ongea naye kistaarabu kwamba kwa sasa huwezi kuwa naye tena.
  14. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mkopo wa Milion 13.

    Ni kweli ulichokiandika! Benki hazikopeshi dhamana kama wanasiasa wanavyodanganya watu.
  15. Rich Dad

    JamiiForums Tanzania Foloma za kutengenezea pavent zinahitajika.

    Bila shaka wewe ni Mfipa! Wafipa hawawezi kutamka vizuri neno "frame" na badala yake wanaita Foloma wakimaanisha mould ya kutengenezea tofali. Please nenda pale university of Dar es Salaam karakana iitwayo BICO - campus ya mlimani na watakupatia hizo foloma za kutengenezea paving blocks.
Back
Top Bottom