Recent content by Ribbosa

  1. R

    Msaada tafadhali: Nimechaguliwa katika US Green Card

    Pole Sana! Kuna tangazo walilitangazaga Sana Hadi kweny website za Ubalozi wait kwamba Kuna shida iliyokea kweny sustem zao. Wakasema zoezi litaanza upya woote waliocheza warudie Tena!
  2. R

    Msaada tafadhali: Nimechaguliwa katika US Green Card

    kama unamaanisha passport ya kusafiria, sio lazima uwe nayo mkononi ila ukishashinda ndiyo utaanza mchakato wa kutafuta hiyo passport kwa ajili ya safari coz itahitajika ubalozini.ili mr adi majina yako yawe sana na cheti cha kuzaliwa unayo jiregister siku ya kucheza.
  3. R

    Msaada tafadhali: Nimechaguliwa katika US Green Card

    Hakuna garama yoyote ili mr adi uwe na kigezo chochote kati ya viwili wqlovoviweka. 1. uwe umesoma angalau hadi high school, 2. expérience ya kazi ya miaka 2 walizoziorodhesha kweny instructions zao.
  4. R

    Msaada tafadhali: Nimechaguliwa katika US Green Card

    pia ni moja ya sheria kwamba, kama ni mwana ndoa alafu ulipocheza hauku sema kama umeoa au kuwa na watoto siku ya kwenda kwa ubalozi hautopata visa utakuwa disqualified coz hukuwa mkweli, na hautopata visa.
  5. R

    Msaada tafadhali: Nimechaguliwa katika US Green Card

    Kwa wale wanaotaka kushiriki mwaka huu vigezo ni kati ya hivi viwili... 1. Uwe umesoma hadi high school na 2. Angalau uwe una expérience ya miaka 2 ya kufanya kazi au zaidi tangu siku unafanya entre ya application.. Angalizo hii kitu jamani ni ya ukweli Watanzania tushiriki hii lottery, dunia...
Back
Top Bottom