Recent content by rhysrose

  1. R

    Business Advice

    Maoni yangu: hiyo hela ni ndefu-- kama kuna mizengwe au hakuna huwezi jua, cha maana fuata procedure, tafuta na lawyer wako awepo soma mikataba mnayowekeana, mwombe uthibitisho wa fedha halali, kwasababu wajanja wako wengi, unaweza ukahusishwa na money laundering wakati wewe nia yako ilikuwa...
  2. R

    Bidhaa kutoka South Africa zinalipiwa ushuru?

    My experience: nilikuwa na gari Nairobi, nimeendesha miezi 6, wakati narudi Dar, ilibidi niuze maana lilikuwa halijafikisha mwaka tokea nilimiliki Nairobi. Nilipouliza TRA customs niliambiwa kenya sio car manufactures , so inabidi nilipe tax zote kama nilivyolipa nairobi, wakati naliingiza from...
  3. R

    Msaada: Natafuta watu wakuning'olea visiki na kusafisha shamba

    Kuna sababu kwanini mtu anafanya kitu, usiwe rahisi wakuona wenzio wajinga! Theres more than what meets the eye!
  4. R

    Mwenye ufahamu juu ya bei ya mashamba bagamoyo.

    Mi mwenyewe nataka kujaribu, nimeulizia kuhusu machungwa wamesema ndio kwenyewe, maembe pia! Kama uko serious na mahitaji ya ardhi, tuwasiliane ntakupa contacts!
  5. R

    Msaada: Natafuta watu wakuning'olea visiki na kusafisha shamba

    Habari, niko tayari kumpeleka mwakilishi kuliangalia! Package ni inclusive. Ninamalizia kibanda cha vyumba 2 shambani-- ndipo kambi itakaa! Sina vifaa/ japokuwa kama ni lazima niko tayari kuvitafuta!
  6. R

    Msaada: Natafuta watu wakuning'olea visiki na kusafisha shamba

    Habarini, mi ni mkulima na nategemea kuotesha mwezi wa 3. Nina tatizo moja, bajeti yangu ya kusafisha shamba haendani na matakwa ya wanakijiji walionizunguka kwa sasa. Niko tayari kutoa 50,000 TZS kwa eka(70X70), ukubwa wa shamba ni ekari 50. Nimefahamishwa kuwa inawezekana kuajiri kutoka...
  7. R

    Mwenye ufahamu juu ya bei ya mashamba bagamoyo.

    BTY way kama uko serious mi nnashamba kule--kwahiyo ni mwana kijiji tokea mwaka jana May-- naweza kukupa contacts! Karibu tulime!
  8. R

    Mwenye ufahamu juu ya bei ya mashamba bagamoyo.

    habari, kuna maeneo ya fukayosi, km 20 kutoka bagamoyo mjini, njia ya msata kabla hujafika kiwangwa, wanalima mananasi--ekari ya 70X70 shs laki 4, ukiingia ndani km chache kutoka barabara. Barabarani wanauza plot za viwanja kwaajili ya frame, bei ni kuanzia mil 8.
  9. R

    Mashamba ya umwagiliaji

    Nimefurahi kusikia hivyo, nina mpango wa kuanza ufugaji ila nilikuwa nafikiria kuku wa mayai-- ningependa kudadisi kwa nini umeshauri kuku wanyama? asante
  10. R

    European beech charcoals & white oak Charcoals for BBQ

    unakuwa kama huu hapa kwenye link hii: Oak White Charcoal For Bbq - Buy Charcoal,Bbq Charcoal,Korea Oak Charcoal Product on Alibaba.com
  11. R

    European beech charcoals & white oak Charcoals for BBQ

    Habarini, natafuta supplier wa mikaa aina mbili: 1.european beech charcoals 2.white oak Charcoals for BBQ Kwa anayejua upatikanaji wake au yeye ni supplier/producer/manufacturer -- ntashukuru kujuzwa!
  12. R

    kwa wajasiriamali wa sekta ya kilimo

    Habari, nahitaji kufanya soil test-- hii number nikipiga haiconnect, kama una number nyingine naomba, au hata email address itakuwa poa!
  13. R

    Ajira hizi hapa wahi kabla ya deadline! Kila mtu atapata hakuna ubaguzi hapa!

    Fraud--google search it and read referraltask.com - No payment
Back
Top Bottom