ni ipi tiba nzuri ya huu ugonjwa maan nahisi na dalili za huu ugojwa siku ya tatu sasa tangu nmeanza kuhisi nimesoma baadhi ya makala ndo nkagundua nacho umwa ni iki, naombeni mnijuze dawa ya huu ugonjwa wakuuu....
Wakuu kama mnavojua wafanya biashara wamekua wakiuza bidhaa ambazo mda nwingine ua c original sasa nawezaje kutambua flat screen aina ya sumsung kama ni orignal ama feki
aichukui mda mkuu me nmeripoti kazin mwez wa kumi na mbili chek namb nmepata mwez wa kwanza, itakua ufatiliaji wa maafisa utimish ni wa hapo ni mbovu mkuu
Wtu waajab san yan unaweza kuta uyu anae mkatish moyo mwezie yupo home kila asbui aanangojea beki 3 ampigie hodi kumwambia chai tyar, wa2 wapo wanapig hii kaz na wanaendsha familia l, hapo ni juhud yako ya kazi ndo malipo mazur
Mkuu ipo ivi laptop aija stack ila tatizo ni kwamba kila nikijaribu kati ya vile viboksi kwenye start ikiwemo kile na cha desktop inagoma ina load mda mrefu arafu aileti kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.