Msimsingiziee kwa lolote au chochote, anafundisha lugha vizuri na wale wasaidizi wake
Pia wapo baadhi ya viongozi wa nchi hii wanafundishwa kwake kama wabunge
ISLETS sikulazimishi uamini au kutokuamini
Juan kuwa Mathayo 10:41 jib u utapata kama uamini pia soma Mathew 16:19 au Mathew 18:18 jibu ukipata na unadili we zaidi ila kama ujapata
Nitafute msofe3@yahoo.com nitakufundisha jinsi ya kusoma biblia na sio kukariri au jinsi ya kutafakari biblia na...
Watu mbalimbali wanapokea kila leo miujiza
1. Stika zipo na watu wanapokea miujiza
2. Mafuta yapo na watu wanapokea miujiza
3. Sabuni anatoa na watu wanapokea miujiza
4. Damu ya YESU anatoa kila siku saa10 kasoro Jumamosi na Jumapili
5. Anatabiri njoo ujionee mwenyewe na anavyotabiri na unajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.