Sijaona sababu ya wewe kumkataa Huyo mtoto..... Kabla ya mimba alikwambia ana hamu ya kuzaa na wewe.... Alipopata mimba ulijua na ulienda kumuona pia.... Umetuficha kama ulimshawishi kutoa akaamua kukudanganya imetoka na wewe ukafurahia na kituma pesa za kusafishwa.....kumbe unalea mimba...
Msamehe na uendelee naye maana hata wewe unampenda.. Kitendo cha kumsamehe mara ya Kwanza na kumuadhibu mara ya Pili mpaka kumvunja mkono kinaonyesha wazi huwezi kumuacha na unampenda pia.... Ukiona umemuacha bila kuomba ushauri ndo ujue humpendi tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.