Recent content by Rewgo

  1. Rewgo

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Mtoto wa Mulla ambaye ni jangili amuua mtu aliyemhisi kumchongea, ajeruhi wengine

    Majangiri kwani bado yapo ? Majangiri Yamewezaje kupenya maanga mpaka kwenye sayari ya HAPA KAZI TU ???!!!
  2. Rewgo

    JamiiForums Tanzania Special Thread ya Dar Mpya: Paul Makonda afanya Ziara Jijini la Dar kusikiliza kero za wananchi

    Mnyonge mnyongeni jamani. kosa la Makonda nini sasa hapo
  3. Rewgo

    JamiiForums Tanzania ARUSHA: Mbunge Godbless Lema bado anasubiri dhamana, arudishwa Gerezani, Mawakili wake wakata Rufaa

    Nyakati zinabadirika jamani !! enzi zile G.Lema hasingeweza kukaa ndani Muda wote huo. Hii ni picha mgando inayoosha ni siasa zipi watu wanazihitaji kwa kipindi hiki
  4. Rewgo

    JamiiForums Tanzania Mzungu amejenga dunia na kuweka ukomo wa binadamu kufikiri

    Kwamfano wewe unaamini nini ili upate wafuasi wawili watatu?
  5. Rewgo

    JamiiForums Tanzania Mzungu amejenga dunia na kuweka ukomo wa binadamu kufikiri

    Y.N,Unakataa IMANI wakti huo unanukuu vitabu vya imani ...kwanini!?? Nimekusifu kitu kimoja ,wewe ni mjenzi mzuri wa Hoja japokuwa nimebaini hoja yako wewe binafsi hauiamini japokuwa unamaanisha jambo flani kubwa unaloliwazo. Lakini nahisi kipindi hiki unaweza kupatwa na Tatizo la Msongo jaribu...
  6. Rewgo

    JamiiForums Tanzania Bashe: Si Lowassa pekee aliyeonewa CCM

    :)
  7. Rewgo

    JamiiForums Tanzania Bashe: Si Lowassa pekee aliyeonewa CCM

    Nimemisi Siasa jamani...uchaguzi wa 2015 ulikuwa na vitimbwi vyake
  8. Rewgo

    JamiiForums Tanzania MWANZA: Hotel ya Tai Five yapigwa mnada

    Ni habari mbaya sana kwa wawekezaji wa Hotel
  9. Rewgo

    JamiiForums Tanzania Kama kamati ya ulinzi na usalama ina malumbano hivi,je Dar iko salama? je ivunjwe?

    Kamati yenyewe haina mikakati,imekalia kuvaa tisheti nakuchez mpira .Ona sasa
  10. Rewgo

    JamiiForums Tanzania Rais Shein: Mafuta na gesi ni mali ya Zanzibar na si Muungano

    Alafu mbona kapiga vijembe kwenye kutia saini??
  11. Rewgo

    JamiiForums Tanzania Mbunge Lema ashindwa kufikishwa kortini baada ya kukosekana gari la kumleta

    Kazi kweli kweli
  12. Rewgo

    JamiiForums Tanzania Mdude Nyagali kufungua kesi mahakamani kwa hati ya dharura kuhusu pesa za wahanga tetemeko Kagera

    Acha Uchuro wewe!! kwanini asifanikiwe
  13. Rewgo

    JamiiForums Tanzania Maoni yangu kuhusu 'Maoni ya Dr. Slaa' juu ya pesa za wahanga wa tetemeko Bukoba

    Siamini uchawi ,kwasababu Enzi za kuzaliwa kwangu sikuwahi kuambiwa kwetu kunamchawi ;lakini kadli miaka inavyokwenda kutokana na matukio yasiyo yakawaida yanayowapata watu haswa ninaowafahamu imani ya kuamini wachawi yamkini wapo inaongezeka siku hadi siku!! .Juzi Juzi kuna rafiki yangu...
  14. Rewgo

    JamiiForums Tanzania Wahanga wa Tetemeko la Ardhi: Huyu Ndiye Mchawi Wetu!

    Nadhani hujui wajibu wa serikali kwa Raia wake , Mleta mada nadhani hata sasa wewe bado nitegemezi wa Fikra na yawezekana uzi wako umeandika kwa kukopi au Kuskia stori flani za vijiweni pale Hamugembe. Kwenye swala la Serikali kusaidia watu wake sio Msaada huo ni wajibu wa serikali kuleta...
  15. Rewgo

    JamiiForums Tanzania Serikali: Fedha za Maafa ya Tetemeko Kagera zimeelekezwa kwenye Taasisi za Umma

    Nikweli kabisa nimeuelewa mchango wako
Back
Top Bottom