Recent content by revocare

  1. R

    Walimu mnaweza kujiajiri

    hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!! Ila siku ya leo nlichokiona humu ni unforgetable. Mbavu zangu jaman mweeeeeeeeeee mnaniuaaaaaaaaa! Ila kuhusu ajira nna hakika mei mosi nimehakikishiwa na mtumishi mmoja wa tamisemi dom bado wanapanga majina believe me.
  2. R

    Mandamano makubwa ya walimu

    washindwe na walegeee wote wanaotuandama hum ndan kwanza nawafananisha na mtoto wa nyani anayefurahia namna moto unavoteketeza kichaka huku akisahau kuwa ndo sehem ya kujistili
  3. R

    Mandamano makubwa ya walimu

    wao n wao na sisi ni sisi
  4. R

    Mtazamo wangu kuhusu tangazo la ajira za walimu

    kuna mtu kaanzisha uzi anasema jk kupitia tbc taifa kasema ajira hadi may 28 na ni kwa walimu wa sayans n kweli?
  5. R

    Mtazamo wangu kuhusu tangazo la ajira za walimu

    ''...............they are very sensitive to egoism than a camera film to light but slow as tropism to national dvt........''
  6. R

    tumechoka muda wote ajira ajira! kalimeni

    ndg viongoz walikuwa ni akina mandela, nyerere na wengine wa namna hiyo lkn leo????????!!!!!!!!!!!!! Hawa wamezoea kuchokonolewa au janga ndo wachukue hatua
  7. R

    Ajira za ualimu 2015 ni pigo la wengi

    najiuliza, kama kusubir hali ndo hii ikitokea jina langu likatemwa?!?!??!??!!!!!!!
  8. R

    Walimu wapya mmejiandaaje kuripoti vituo mtakavyopangiwa?

    mwalimu aliye kazini mwenye experience ya kupotelewa cheti naomba anijuze. Wakati wa kuripoti kuna haja ya kuwa na statement of results toka necta au zile nyaraka mbadala yaan(barua ya polis na mkuu wa shule na nakara ya tangazo kwenye gazeti la serikali). Natanguliza shukrani
  9. R

    Serikali yafuta ajira za walimu mwaka huu

    ndugu zangu tusidanganyike na tangazo lililotolewa na wizara kupitia tovuti maana iliwapasa kufanya hivo kufuatia tangazo feki, kinachonipa wasiwasi ni wizara kutokuwa specific kwa maana hiyo lolote laweza tokea
  10. R

    Ualimu wito kweli

    duhhhhhhhhhhhhhhhh
  11. R

    Taarifa kwa Umma kuhusu Ajira za Walimu

    walimu wengi waliotakiwa kupandishwa madaraja mpaka ss bado wengine tokea 2010
Back
Top Bottom