hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!! Ila siku ya leo nlichokiona humu ni unforgetable. Mbavu zangu jaman mweeeeeeeeeee mnaniuaaaaaaaaa! Ila kuhusu ajira nna hakika mei mosi nimehakikishiwa na mtumishi mmoja wa tamisemi dom bado wanapanga majina believe me.
washindwe na walegeee wote wanaotuandama hum ndan kwanza nawafananisha na mtoto wa nyani anayefurahia namna moto unavoteketeza kichaka huku akisahau kuwa ndo sehem ya kujistili
ndg viongoz walikuwa ni akina mandela, nyerere na wengine wa namna hiyo lkn leo????????!!!!!!!!!!!!! Hawa wamezoea kuchokonolewa au janga ndo wachukue hatua
mwalimu aliye kazini mwenye experience ya kupotelewa cheti naomba anijuze. Wakati wa kuripoti kuna haja ya kuwa na statement of results toka necta au zile nyaraka mbadala yaan(barua ya polis na mkuu wa shule na nakara ya tangazo kwenye gazeti la serikali). Natanguliza shukrani
ndugu zangu tusidanganyike na tangazo lililotolewa na wizara kupitia tovuti maana iliwapasa kufanya hivo kufuatia tangazo feki, kinachonipa wasiwasi ni wizara kutokuwa specific kwa maana hiyo lolote laweza tokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.