Chura punguzeni vituko na wenu uhayawani, mnazua sokomo watu hawawaeleweni!
100% in Lubumbashi Mechi itakuwa 2-2 and TP Mazembe OUT..... ni wepesi sana!
Ni changamoto Kubwa..... Mifumo ya Ki electronic haina msaada kwa Wazee wa NECTA..... something is very wrong ...tuombe SIKU uncle MAGU apite kuwahoji...ndio watajiongeza.... kama wangekuwa smart...hii ilikuwa ni njia ya kuongeza mapato...wanaopoteza vyeti ...wangeandaa utaratibu mzuri wa ku...
HATERS MTAKUFA NA KIJIBA CHA ROHO......Kuna shule nyingi sasa walimu wanakaa kwenye ofisi rasmi sio darasa lililogezwa ofisi ...Asante Makonda..... PIA Polisi wanatembelea magari bora ....Again Asante MAKONDA kwa ukarabati...
Mkuu You are missing my point here! Tunajua MACCM yapo mengi na sheria zote wao ndio wanapitisha but Tungeshukuru sana na kupata AMANI Kwenye MIOYO yetu kama tungekuwa tunazisikia SAUTI ZA WAPINZANI kwenye mambo ambayo yana maslahi makubwa ya wananchi... kama tunavyozisikia SAUTI ZAO kwenye...
Hakuna kitu hapa....historia inaonyesha UPINZANI WA BONGO ni wasaka tonge tu.... 1) Mmeshindwa kuonyesha umoja bungeni every time mmekuwa mnagongana....Kama sio CUF na Chadema basi CHADEMA na ACT
2) Mmeshindwa kutetea wananchi kwenye hoja za msingi zinazowaathiri moja kwa moja kama Kodi...
Wacha kuzingua...mwaka ndio kwanza unaanza baada ya kuhamasisha watu kufanya kazi, kurekebisha makosa ya mwaka uliopita ili kuboresha maisha unaanza na mambo ya UASI....Tabia hii ndio mliotuletea baada ya uchaguzi 2015 na kumfanya MKUU aone kila MPINZANI ni MCHU WA MADARAKA na SIO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.