Tena cha ajabu foreing investment serikali yetu inawapa upendeleo wa hali ya juu sana wanapewa magari mangapi kuingiza nchini bila kulipa kodi wakati mzawa unasafa kuingiza gari hata moja ndio maana kila baada miaka mitano kampuni wanauza anasema kapata hasara na kodi halipi anabadilisha jina go...
Kwani hujui kama waafrika hatuna akili mm nakushangaa sana ,subirini wazungu wanakuja kuzichukua tena ,muone Traore na wenzake wamejitambua ktk makucha ya wakoloni.
Polepole na Baba ake plpl na familiya yote na fans wake wote huwezi cheza na SERIKALI .Ulikuwemo na umetoka katafute jembe ukalime kelele za mlango hazimuamshi mwenye nyumba .Raisi Samia achana na plpl wala usimjibu unajua Raisi wangu umekuwa mpole sana sana hawa watu wanataka uwe kama Makufuli...
UBAYA UBWELA KARIBU YAKHEE KIZIMKAZII KWA MAMA UROJO UPO.Zandrano Tembea Kifua Mbele kikombe ni chetu mwaka huu Simba ni timu ya FIFA sitaki niseme sana lakini Simba atashinda kwa halali au kwa haramu lazima ashinde na mutakauja toa ushahidi hapa .
KIPAJI ni Propaganda za wazungu kutaka kuwanya Waafrika kama nyinyi hamna akili au hamna kipaji kuna vitu wazungu ni mbwa na watu wabaya sana .Kwa mfano wakishakuona kijana mweusi ni hodari kwa kila kitu wanaanza kukutengezea zengwe toka mwanzo kuanzia shule ,university,kwenye kozi za polisi au...
Nipo na wewe kaka ,aliegundua umeme ni mtoto ambaye shule zote walimkataa kwa sababu alikuwa kichwa maji na barua ya kuachiwa shule alipewa mama lakini mama ndio kama akamwambia mwanawe walimu hawana cha kukusomesha kwa sababu wewe una akili sana kushinda wanafunzi wenzako matokea yake kagundua...
Uislamu ni dini ya sheria.
Ukristo ni dini ya democracy fanya unavotaka kuwa shoga, kuona mume kwa mume or mke kwa mke fanya utakavyo.
Uislamu una promot ubinadamu.Kazi kwako chagua unapotaka.
Mwenye akili kazaliwa na yupo Bukina Capatai Ibrahim Traore kapindua meza na sasa Manyangau wanataka kumua but Allah anamlinda .Kidume kaamua na liwalo na liwe Maraisi na viongozi wote waafrika wanaona aibu zile za kuwa hatuwezi au hatuna akili au bila ya wazungu zinaanza kufikia tamati .NOTHING...
Wewe ni TISS koma kufuatilia maisha ya watu ,kwani watu wote wanafanya kazi au wanahangaika kama unavohangaika wewe .MUSICHUNGUZANENI HAIFAI.kama mimi huyo mkaka nahama huo mtaa wa apecholala,
Nakupa simple answer ni kuwa Ibilisi alikuwa na KIBURI .Baba yetu Nabii Adam Allah alimuumba akamfanya kama doli au fremu tu kwanza wakati huo ibilisi anliona lile doli na kulichezea na kushangaa hiki kitu gani .Baada ya masiku kupita Allah akalitia ROHO na kuwa binadamu ndio hapo Allah akawapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.