Recent content by Resurrection

  1. Resurrection

    Muungano wetu uendelee kudumu milele na milele

    Kwenda zako Fala nini wewe ingekuwa Muungano wa kweli Kenya na Uganda wengeingia .Watanganyika wanafaidika zaidi na hili JINI Muungano Wazanzibari hawataki Muunganooooo.Bora Uvunjike tu lkn nyinyi wabara ndio kinganganizi.
  2. Resurrection

    Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

    Broo CCM nI Mafiya c mchezoo kukutoa mhanga ni dakika sufuri tu kama huna timu kali hotoboi CCM ni kama GININGI ukifanya mchezo unatolewa kikoa kazi kwenu.
  3. Resurrection

    #COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

    Ajabu Wakristo munabebana sana hongereni kisa hichi hichi engekileta Muislamu na hadithi hii hii badala ya kanisa weka msikiti tu basi JF mzima ingekuchana kinyama lkn nakupengezeni Wakristo huu uzi hauna mbele wala mwisho nimeuacha njiani naona kama ni adv or CV ya muandishi anajaribu kuomba...
  4. Resurrection

    Nimeaibika sana leo, nimejamba kikaoni mbele ya Binti nayempenda

    Duce naomba mkatae huyu mkaka ikiwa mk wake hauwezi si itakuwa wakati wa shughuli anajamba ovyo ,aibu kaka mwanamme hajambi ovyo inaonyeshea ww ni bonge na unapenda kula ovyo muscle zako haziko strong.
  5. Resurrection

    Wakati tuko Busy na Yanga na Simba watu wanagawana nchi

    Ajabu sana Watanzania wana Fikra mgando hukuti Watanzania kuklalamikia umeme hukuti watanzania kulalamikia maji wakati ni haki yetu ya msingi watu tunashindwa hata kudai haki zetu hii ni aibu kwa serikali tupo karne ya 21 toka baada ya uhuru hatuna umeme ma maji safi nini malengo yetu .Nasikia...
  6. Resurrection

    Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

    Wacha kupoteza time yako Mpango mzima wa Maisha ni BIASHARA tu Utakuwa HURU you are the BOSS .Labda ushaahidiwa ubunge sema kweli tu .
  7. Resurrection

    SGR Mchakato wa Nauli ndiyo huu hapa, mtoto hadi Moro kulipa Tshs 12,400

    Sawa Huo UMEME wanao Unajua kuna vitu vyengine havitaki kuiga vinataka uthubutu TZ tatizo letu ni Umeme na Maji ndio tataizo SUGU .Hii Treni ilitakiwa iwe ya kisasa zaidi with very high speed n wangalifanya step by step Wengeanza Dar to Moro tu kwanza halafu wakaanza na mkoa mwengine sio...
  8. Resurrection

    Msajili wa Jumuiya za Kiraia: Makundi ya WhatsApp kusajiliwa Kisheria kwa TZS 200,000/-

    Watwambie balaa la UMEME na MAJI Litamalizika lini na mwaka gani haya ndio mambo ya msingi .Hii nchi kuna Mawaziri na wabunge Bumbumbu sana kichwani hamna kitu .Naomba sana niwe Raisi .Waziri nakupa miezi 6 tu kama hudilivery out of the job.
  9. Resurrection

    Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere

    Raisi Samia Suluhu kama kweli uko serous na UWEKEZAJI ondosha hili tatizo la UMEME shame of your Gov .Hata haya hamuna toka UHURU mpaka leo mmeshidwa kuondosha tatizo SUGU la UMEME.Huwezi kuwa na maendelea kama huna ENERGY ya Uhakika .Maji ya Uhakika .Barabara za Uhakika yaani this is toooooooo...
  10. Resurrection

    Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

    Wacha Ushamba huo Nyame hata Italy yapo hayo madoli labda yanakupa ashiki flani ndio maana hujui kama biashara ni itembezwayo Baba upo 21 century wake up.
  11. Resurrection

    Wanazuoni wa kiislamu toeni elimu kwa Waumini, wasioulewa vizuri Uislam wao

    Kama ulivyokuwa mdogo ukala mboko kwa baba ako ndio vile vile ukiwa mkubwa utapigwa kwa kutotii sheria.Zanzibar njema atakae na aje.
  12. Resurrection

    Tanzania yasaini Makubaliano ya Msaada wa Tsh. Bilioni 193 kutoka Ujerumani

    Wajerumani sio wapumbavu Watoe milioni 70 Euro kwa msaada lazima kuna kitu behind it .Haya wacha tuone mwisho wake .Na hizo ndizo zinazopigwa kinyamaaaaa.
  13. Resurrection

    Mo Dewji afunguka kutekwa kwake kipindi cha Hayati Magufuli

    Pole Sana Mo Hiyo ni Mafiya Style walikuwa wakuondeshe kweli lkn suala lako lilikwenda juu sana .Allah akulinde sana .
  14. Resurrection

    Tatizo la Muungano ni Uislam siyo Wazanzibari

    Tatizo la Zanzibar sio uslamu bali ni UZANZIBARI (IDINTITY)wewe kama una chuki ya uislamu na waislamu weka mbali .Kabla 1964 Zanzibar ilikuwa inaitegemea Bara Tanganyika .Tarehe 10 December 1963 Znz ndio imepata uhuru wake tarehe 12 January 1964 Nyerere mchonga meno ameleta watu wake kuja...
  15. Resurrection

    Kama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi alizaliwa Kivule, Alifikaje Zanzibar?

    Huyo Hussein mwinyi nasikia ndio alongangania kuzikwa Unguja kujinasibisha na Uzanzibari waliokuwa hawana nafikiri ni utashi wa kisiasa zaidi waonekane Wazanzibari wakati sio kweli wao ni watanganyika tu .
Back
Top Bottom