Tunajua ndio mpango KAZI wa 2030 unaoandaliwa na chama!
Magamba matatu anajua Hilo kwenye thread yake ya "makonda kuwa kwenye wizara nyeti 2025 ,2030 kuwa the next magu"
Tunajua ,labda yafanyike mengine ya Mungu tusiyoyajua
Tunajua ndio mpango KAZI wa 2030 unaoandaliwa na chama!
Magamba matatu anajua Hilo kwenye thread yake ya "makonda kuwa kwenye wizara nyeti 2025 ,2030 kuwa the next magu"
Tunajua ,labda yafanyike mengine ya Mungu tusiyoyajua!
Una akili we jamaa acha kabisa!
Wanatafuta umiliki wa Mali Kwa kigezo Cha watoto,wanawatumia watoto kama fimbo ya kukupigia Ili uanze upya umwachie Kila kitu,na hasa kama vitoto Bado vidogo ndio kabisa!!
Na Kwa kawaida zaidi ya asilimia 90 ya sisi hatuna kauli linapokuja swala la watoto coz...
Mchezo unachezwa deep kwenye maji=" Taarifa zunatoka juu kurudi chini-desert mission" by Tumia akili= "vurugu za uchaguzi za oct 29 zilianzia nje ya nchi" Thabit kombo waziri!!
Maana yake nini:-
Desert mission yaani mission nchi kavu inaendelea baada ya kuhalalishwa na damu kumwagika oct...
Mitego ya kifo huwezi kuishinda siku zote utanasa TU!
Oct 29 hakukua na lengo la kupindua meza bali kupata reaction Toka kwao Ili kuhalalisha next stage ya mgawanyiko mkuu ambao drama na spinning zao haziwezi kufua dafu!
Tujuulize Kwa pamoja je :-
Desert mission= sio october 29 via no reform...
Simple TU,hamtaki mapenzi mnataka hakikisho la kushiba plus kulipiwa bills plusmahitaji yote!
Na style lazima ibadilike !nakupenda kwasasa no ushamba kabisa kulitumia!
Aiseh!
KAZI na utu,tumasonga mbele!
Sasa huo utu wa mabom.machozi Kwa wanawake wenzio wasio na silaha ndio kitu gani!!?
Kwanini usinge spin Kwa kuandaa uwt CCM wenye ujumbe maalum wa kukupongeza na media Zika trend zaidi kuliko tear gas!!?
Hapo ikulu una washauri kweli comrade suluhu...
Mnawabebesha mzigo wa lawama TU zizsizo na maana!
"Kiongozi huandaliwa na wachache kabla ya kupitishwa na chama plus umma kupigiwa kura,hakuna bahati nasibu kwenye process" mwenye hekima fulani alizungumza!
Walimu ni wahanga wa maamuzi ya wakubwa "explosive decisions" zao Zina tesa sana!!
Naiomba gavooo iajiri maaafisa usalama wanaofuatilia usalama wa walimu makazini!
Yupo comrade mmoja hapa kaamua kuoa upya coz alikuja kugundua Kuna mmoja (japo sio mwenye cheo hapo juu) alikua na affair na mkewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.