Recent content by RESILIENT KATO

  1. R

    JamiiForums Tanzania Tusio na nguvu za kiume tukutane hapa tupeana moyo na ushauri

    Hakuna tatizo la nguvu za kiume bali:- 1. Tatizo la chango la uzazi kwa mwanaume, 2.psychological instability stress,uchumi,familia ,matatizo! 3.kisukari, pressure,vidonda vya tumbo n.k! 4.Vipaumbele vipya vya maisha,kutafuta pesa,utajiri malengo matokeo yake huna shobo na mtu!! 5.lishe mbovu...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Raraa reree

    Humu kila MTU ana kazi yake! Trust me tunajuana sana kuliko unavyowaza! Public entry internet Ina ku spin location vizuri tu, Be humble and speculative in narrating a phenomenon! End with this signature;- Work and dignity,we move forward!
  3. R

    JamiiForums Tanzania Yuda Fever;Nyumba nyeupe haikaliki analala Zanzibar.

    Mungu tusaidie kuulinda uhai WA comrade nchimbi! Mungu tusaidie moyo wa huruma kwa team kizimkazi Wote tuseme aameen kubwa!! Damu imejaa kikombe itatuletea madhara!
  4. R

    JamiiForums Tanzania Mbunge ashauri Chama Cha Mapinduzi kumpitisha Dkt Samia kama mgombea wa uraisi 2030

    Yale Yale ya juma nkamia enzi za hayati chuma! "Bunge la miaka Saba" MATOKEO Hayati akaitwa kwenye usingizi wa milele Yale Yale ya gazeti la uhuru baada ya samiah kushika hatamu eti "samiah sitogombea urais 2025" MATOKEO kampeni za mapema,mgao wa baiskeli na pikipiki,halafu mtego wa mauaji...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Nchimbi is not a cadaverous fish drifting pro forma with every current. He is piscis vivus

    Kama ni kweli kwamba nchimbi alitoa ushahidi huko USA juu ya mauaji ya October 29.Ni rasmi lazima innocent anajijua atatiwa hatiani coz alikua waziri wa mambo ya ndani!! Kwa hofu ya hatia lazima a sapoti maamuzi toka juu ya nchimbi!
  6. R

    JamiiForums Tanzania Naona kete ya mtu kubaki madarakani 2030 imeanza kusukumwa taratibu! CCM hongereni kwa kutanguliza chama badala ya Taifa

    Tatizo ni kwamba huwezi jua anaeanzisha hiyo kete nani kamwambia aianzishe na kwa malengo gani!!halafu unaweza fikiria kwamba muanzisha kete ni team mwenyekiti kumbe yeye anafuata maelekezo tu ya mtu AmBAR NAE kapewa maelekezo Yale Yale Toka juu!! Namkumbuka Juma nkamia alikuja na hiyo madam...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Naona kete ya mtu kubaki madarakani 2030 imeanza kusukumwa taratibu! CCM hongereni kwa kutanguliza chama badala ya Taifa

    Kwamba, baada ya operation yuda kufanikiwa sasa kaja na "operation beyond the term limit" Ngoja tuone the state watakuja na operation ipi!!? Lakini comrade ndejembi ana uwezo kabisa wa kuongoza miaka 12 kama FDR , Yaani 2028-30 (2 years),then 2030-2035(5 years) halafu achaguliwe tena...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Kila nikipata mpenzi au mchumba mpya kama hana kazi ndani ya wiki mbili tu anapata kazi nzuri

    We ni ke au me!!? Halafu anapata baada ya mizagzmuo au dating TU!!?ukijibu nitakuambia kwanini coz hata Mimi hunitokea kwa baadhi ya madem Fulani ambao nimewahi kuwa nao!!
  9. R

    JamiiForums Tanzania Bashungwa, Ukiwa Waziri mambo ya Ndani, Watanzania walishuhudia Mauaji ya Watanganyika Oktoba 29 2025. Kaa kwa kutulia, Achana na Nchimbi!!

    Huyo lazima apige kelele coz yeye ni mshukiwa mkuu! Kama nchimbi alichomesha kwa kutoa ushahidi wa mauaji Yale kule America kama inavyotajwa humu na britanicca ni rasmi Bashungwa ana hofu hakuna namna zaidi ya kuunga mkono maamuzi ya nec kumtimua nchimbi!
  10. R

    JamiiForums Tanzania Naona kete ya mtu kubaki madarakani 2030 imeanza kusukumwa taratibu! CCM hongereni kwa kutanguliza chama badala ya Taifa

    Kwani yule jamaa alieanzisha operation yuda ameshachagiza kwamba hakuna kikomo cha urais kikatiba!!?ungeongezea nyama!
  11. R

    JamiiForums Tanzania Wanawake acheni ushirikina!

    Bila hayo wengi wanahisi mambo Yao hayaendi! Kuna kipindi nilipata changamoto kwenye site yangu ya mia mia miambili!nikapelekwa location na jamaa mmoja!tukaaguliwa palee! Sasa wakati tumesharudi ,yule jamaa alienipeleka akaitwa na mama watoto na kuchimbwa biti "eti kama una njaa,useme niwe...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Philip Mangula: Magufuli alitaka kujiondoa kwenye mizunguko ya kutafuta wadhamini kisa wenzake walikuwa wanatoa pesa

    Mzee kaongea code tupu!! Rushwa ni adui wa haki!!
  13. R

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    kukenua (smiling):-just a cover of intestinal sucking parasite deep in him,it can be sorrow,things not clicking the way it should etc,just a cover understand! Usafi kupitiliza(smartness):-thats all he have to show to the community,to him it's the gentleman's relish just like bright coloured...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Nchimbi is not a cadaverous fish drifting pro forma with every current. He is piscis vivus

    How can we protect this man,from blood thirsty carnival!!? Now that Humphrey is no more,and this one is locked 🔒 somewhere!!
  15. R

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    Kuchepuka ni tabia ya mtu na mtu! Pia mazingira Huwa yanashawishi kuiomba! Lakini mwanamme anaechepuka au kuwa na uhakika kuipata nje ni hazina ya mahusiano yenu!!!!? Kweli,vile huna mood au upo period wakati mwingine mambo hayaendi halafu wanawake kama maua wanatamanisha sana kupita nao...
Back
Top Bottom