Recent content by RESILIENT KATO

  1. R

    KERO Responded Msaada: Nimefikia hatua ya kunywa Pepsi 4 kwa siku, nifanyeje kuacha?

    Caffeine iliyopo kwenye pepsi ndio inakufanya teja!! Ambayo unaweza ipata kwenye chai!!
  2. R

    Pamoja na Upuuzi wa Khamenei Lakin baada ya vita ya Kagera alitukopesha mataifa yote yakiwa yametutenga! Ila bado alikuwa mwema kipindi hicho

    Mkuu! Unaposema waisrael halisi unaanisha nini!!? Kwani Kuna waisrael feki!!? No wapi hao!!?
  3. R

    Paul Makonda: Mimi Ni Waziri wa Habari Lakini Naweza Kugeuka na Kuwa Waziri Wa Mambo Ya Ndani na nikakutupa Central Police ukalale Huko

    Tunajua ndio mpango KAZI wa 2030 unaoandaliwa na chama! Magamba matatu anajua Hilo kwenye thread yake ya "makonda kuwa kwenye wizara nyeti 2025 ,2030 kuwa the next magu" Tunajua ,labda yafanyike mengine ya Mungu tusiyoyajua
  4. R

    Paul Makonda: Mimi Ni Waziri wa Habari Lakini Naweza Kugeuka na Kuwa Waziri Wa Mambo Ya Ndani na nikakutupa Central Police ukalale Huko

    Tunajua ndio mpango KAZI wa 2030 unaoandaliwa na chama! Magamba matatu anajua Hilo kwenye thread yake ya "makonda kuwa kwenye wizara nyeti 2025 ,2030 kuwa the next magu" Tunajua ,labda yafanyike mengine ya Mungu tusiyoyajua!
  5. R

    Asilimia kubwa ya wanawake hutoka kwenye umasikini kupitia ndoa, na asilimia kubwa ya wanaume huingia kwenye umasikini kupitia ndoa

    Una akili we jamaa acha kabisa! Wanatafuta umiliki wa Mali Kwa kigezo Cha watoto,wanawatumia watoto kama fimbo ya kukupigia Ili uanze upya umwachie Kila kitu,na hasa kama vitoto Bado vidogo ndio kabisa!! Na Kwa kawaida zaidi ya asilimia 90 ya sisi hatuna kauli linapokuja swala la watoto coz...
  6. R

    Inachezwa chini ya maji mno

    Mchezo unachezwa deep kwenye maji=" Taarifa zunatoka juu kurudi chini-desert mission" by Tumia akili= "vurugu za uchaguzi za oct 29 zilianzia nje ya nchi" Thabit kombo waziri!! Maana yake nini:- Desert mission yaani mission nchi kavu inaendelea baada ya kuhalalishwa na damu kumwagika oct...
  7. R

    Inachezwa chini ya maji mno

    Mitego ya kifo huwezi kuishinda siku zote utanasa TU! Oct 29 hakukua na lengo la kupindua meza bali kupata reaction Toka kwao Ili kuhalalisha next stage ya mgawanyiko mkuu ambao drama na spinning zao haziwezi kufua dafu! Tujuulize Kwa pamoja je :- Desert mission= sio october 29 via no reform...
  8. R

    Siku hizi hatutongozi tena wanawake… tunawapa tu “idea” tu!

    Simple TU,hamtaki mapenzi mnataka hakikisho la kushiba plus kulipiwa bills plusmahitaji yote! Na style lazima ibadilike !nakupenda kwasasa no ushamba kabisa kulitumia!
  9. R

    Mwanaume yeyote mwenye mke lazima kuna moja ya sifa hizi zinamsumbua

    Namba 1 na 2 ,aiseh utakoma!trust me utakoma sana!! Just run away coz ndio njia pekee ya kutokwenda gerezani au usipate pressure !
  10. R

    Mjumbe wa UN kukutana na vyama vya siasa vya Tanzania kujadili hali ya uchaguzi 2025, rais Samia apongezwa katika Demokrasia

    Aiseh! KAZI na utu,tumasonga mbele! Sasa huo utu wa mabom.machozi Kwa wanawake wenzio wasio na silaha ndio kitu gani!!? Kwanini usinge spin Kwa kuandaa uwt CCM wenye ujumbe maalum wa kukupongeza na media Zika trend zaidi kuliko tear gas!!? Hapo ikulu una washauri kweli comrade suluhu...
  11. R

    KERO Mkurugenzi wa Mbinga DC ananyanyasa Walimu

    Mnawabebesha mzigo wa lawama TU zizsizo na maana! "Kiongozi huandaliwa na wachache kabla ya kupitishwa na chama plus umma kupigiwa kura,hakuna bahati nasibu kwenye process" mwenye hekima fulani alizungumza!
  12. R

    KERO Mkurugenzi wa Mbinga DC ananyanyasa Walimu

    Walimu ni wahanga wa maamuzi ya wakubwa "explosive decisions" zao Zina tesa sana!! Naiomba gavooo iajiri maaafisa usalama wanaofuatilia usalama wa walimu makazini! Yupo comrade mmoja hapa kaamua kuoa upya coz alikuja kugundua Kuna mmoja (japo sio mwenye cheo hapo juu) alikua na affair na mkewe...
  13. R

    TANZIA Diwani Wa CCM Kata Ya Mzimuni Manispaa Ya Kinondoni Afariki Dunia

    RIP comrade, Nadharia lazima iwepo coz mwenyekiti hajasema kilichomsibu;- 1.Ile COVID -19 iliyotangazwa ndio imeanza rasmi!! 2.Alipelekwa mloganzila pale "nasikia ukipelekwa pale kuchomoka kazi sana" tetesi TU Sina uhakika! 3. Niendelee kuamini sio wale wazalendo wanaotisha Sana wale...
Back
Top Bottom