Hakuna tatizo la nguvu za kiume bali:-
1. Tatizo la chango la uzazi kwa mwanaume,
2.psychological instability stress,uchumi,familia ,matatizo!
3.kisukari, pressure,vidonda vya tumbo n.k!
4.Vipaumbele vipya vya maisha,kutafuta pesa,utajiri malengo matokeo yake huna shobo na mtu!!
5.lishe mbovu...