Recent content by RESILIENT KATO

  1. R

    JamiiForums Tanzania Nampongeza Rais Samia kwa Kuja Russia maana ametufungulia njia vema kujieleza tukaeleweka

    Mradi mkono kwenda kinywani!!!uelewe swali usielewa hivyo hivyo!!
  2. R

    JamiiForums Tanzania Team Yuda mpoo?

    Hiyo ni Andoni Iraola AI
  3. R

    JamiiForums Tanzania Chunga sana mtu asilie kwa ajili yako

    Kuna mwenzake alihama chumba jamaa asiipige!akaacha kupika,akaacha kufua nguo!!kutwa maneno mabaya kwa watoto akimsema jamaa!! Jamaa akachoka akaenda kuanzisha maisha mapya sehem!! Sasa hivi kaamua kuchukua mwanafunzi wake aliemfundisha secondary kuwa mumewe!!!anaonekana kituko kwenye jamii...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Chunga sana mtu asilie kwa ajili yako

    Usiamini mwanamke anapotoa machozi aiseh!!engine Hawaii kwasababu waliumizwa bali uzembe uliowasababishia maumivu hayo!!! Siaminigi machozi ya mwanamke hata kidogo!Hadi nishuhudie mwenyewe!!!
  5. R

    JamiiForums Tanzania Kama kweli mnajiamini mguseni Mtanganyika Dr. Emanuel Nchimbi

    Tumeua upinzani bungeni tumeanza kushughulikiana sisi kwa sisi!!! Hiyo dhambi tuitubu!!!
  6. R

    JamiiForums Tanzania Mmemsikia Mbunge wa Tunguu, Zanzibar Simai Saidi akitamka "Watanzania na Wazanzibari"? Hawa watu wanatafuta nini lakini?

    Upinzani ukiwa hai chama tawala wanakua wamoja kuzima hoja nzito za wapinzani wakati serikali inaendelea kuteleza majukumu na media zinakua active nankuuza sana habari na muhula wa uongozi unapita kama upepo!! Sasa Bunge la chama kimoja linachosha halina mvuto kabisa na linaua siasa na hoja...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Serikalini kuna Yuda, huko nyuma amewahi kutajwa ni mzigo, amewaumiza watu wengi

    Vita ya gizani ya system imehamia nuruni!! Muhusika ametumika kumfanya yuda apendwe,aonewe huruma,apiganiwe hasa na huku bara!!! Kifupi mjumbe analikuza jina la yuda kuliko hata yuda mwenyewe na no rasmi pale mjengoni yuda anao wengi wanaomuunga mkono ndio maana hakuna makofi Wala vigelegeke...
  8. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kujizuia jamani

    Nipo hapa hebu Fanya kama una ni DM!!!
  9. R

    JamiiForums Tanzania Walidhani wakiimaliza CHADEMA watabaki salama

    Mwanaccm mwenye akili kama kikwete na Mimi pia anajua uhai wa upinzani na upinzani active ndio uhai wa urais na Chama chetu!!! Upinzani ukiwa hai wanaccm tunakua wamoja zaidi ili kupambana nao,upinzani usipokuwepo itabidi wanaccm wenzetu wajigawe wawe wapinzani wa madaraka ndani ya chama hapo...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Mmemsikia Mbunge wa Tunguu, Zanzibar Simai Saidi akitamka "Watanzania na Wazanzibari"? Hawa watu wanatafuta nini lakini?

    Kama ni mkristo mzuri anza kutoa sadaka na maombi ya usiku wa manane Mungu akupe uhai kufikia huko tunapokwenda !! Kati ya watu wanaopaswa kumuomba MUNGU sana ni wanasiasa wakubwa wakubwa wa awamu hii coz mlitegewa mtego mkaingia wazima wazima na Ike damu ndio inahatarisha nafasi zenu bungeni...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Mmemsikia Mbunge wa Tunguu, Zanzibar Simai Saidi akitamka "Watanzania na Wazanzibari"? Hawa watu wanatafuta nini lakini?

    Mapinduzi ya kijeshi sio ushujaa ni kifeli kwa mifumo ya usalama ya nchi husika!! Huku kwetu Bado tupo kwenye misingi ya SAFE PROCESS,yaani anaewindwa hajui kama anawindwa na hajui nani mkweli nani muongo yaani yeye anahangaika kujua mbaya wake lakini hamjui na huyo mbaya wake anaweza kuwa...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mmemsikia Mbunge wa Tunguu, Zanzibar Simai Saidi akitamka "Watanzania na Wazanzibari"? Hawa watu wanatafuta nini lakini?

    Mkuu Wala usiogope hiyo ni michezo ya system!! Yaani kama pool table inapigwa kete moja inapiga mwenzake then wanapigana wao kwa wao halafu wanae mtaka wanamficha abaki safe wakati wao wanna raruana na kuvunjana mifupa!! Ubaya ukiwa namba Moja ni ngumu kujua yupi yuda yupi yesu yupi Paulo wala...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Mpango wenu kumtoa Mafwere kafara na wenzake wanne hatuukubali

    Ccm wanajua namna ya kuhepa misala kama hii,yaani inapigwa RIP Moja TU then kila kitu kinasahaulika!! Subiri tuone!!
  14. R

    JamiiForums Tanzania The Whispers in TZ: A kingdom toppled by its enemies can rise again but that which crumbles from within shall never stand. Meza yao isikauke vinywaji

    I think operation PJLK is now on!!! that voice from Mps house will trigger the desired outcome! The state is about to pull the trigger! Now it's a true war BTN the Allies of US as attackers vs Allies of Russia as defenders of the current office sitter! I wrote earlier in this platform that...
  15. R

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Uchaguzi wa Tanzania 2025 ni vita vya kijasusi ya mashirika makubwa ya Ulaya, Amerika dhidi ya Russia na Mataifa ya kiarabu

    Ina maana warusi hawana msaada kabisa kwetu!!?ki vipi jamaa!!
Back
Top Bottom