Ukweli mchungu huu!
Sikumbuki ni uchaguzi upi uliwahi kufanyija Zanzibar kwa amani bila damu kumwagika zaidi ya uke wa mwaka jana pekee!!
Kwa miaka mingi damu za wazanzibari zimemwagwa sana kipindi cha uchaguzi ,na Baraza la maaskofu liliishia TU kulaani na kukaa kimya kisa aliekuwepo alikua...
Haya mambo yalianza mbali sana na TEC hawakujiongeza!
Mauaji ya Zanzibar 2001 kipindi cha mkapa,mkapa aliomba radhi!!?haki ilitendeka!!?mlidai katiba na tume huru ya uchaguzi!!?wazanzibari sio watu!!?
TEC hawakudai katiba Wala tume huru ya uchaguzi kipindi kile cha mkapa!!
Damu Ile Ile...
Shughuli pekee ya kitume kwa sasa ya TEC ni kudai haki ya wahanga wa October 2025!na waliopotea na kuwekwa gerezani kinyume cha sheria!!
Hayo engine mapadri watayafanyia kazi!!
Comrade!
Kubali nyakati,ndoa Haina umilele wa mpaka kifo kama mnavyoaminishwa na dini hizi,ni nyakati ndio huamua!!
Unaweza kumchukua anaetia huruma kwa kila kitu,elimu,historia ya maisha ,Hali duni n.k lakini nyakati zikipita ukamvusha kote huko hatokumbuka ulipmtoa!
Kuna kina sisi tulichukua...
Hakikisha unashukuru hata nikijamba TU,hiyo itaniongezea Hali ya kujiamini!
Wakati mwingine unanikumbusha nilipokutoa mbali huko sigimbi kwenye chumba kimoja na mlo mmoja!
Nikikukuna hata kimoja chali unaimba mapambio ya sifa na kuabudu huku ukinipiga mgongonii ukisema "wewe ni mwamba kama...
TEC wameishiwa pumzi,walimfuga chatu na sasa amewameza wenyewe!
Walifuga katiba ya Nyerere ya chama kimoja,na kwakua katiba ile ilikua na maslahi Yao kupitia waumini wao kina Nyerere,mkapa!hawakuona umuhimu wa mabadiliko wakidhani mambo yatakua kama yalivyo Hadi ccm walipowazidi nguvu kipindi...
Jkt itakua jeshi la uzalishaji na JW jeshi la wananchi kama kawaida!!
Separation ya operation itafanyika!!
Tutasimamia ipasavyo na mambo yatakua sawa!!
Kwa sasa hakuna takwimu sahihi ya kiasi Gani kina zalishwa na kinatumikaje coz takwimu hazitolewi wazi ndio maana hatuelewi elewi mambo yapoje!
Tutaiweka vizuri TU,ushirikiano muhimu!!
Hawatokaa kambini au magereza,watakua mobile wakifanya kazi!
Namna ya kuwa monitor ndio swala la kutilia mkazo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.