Recent content by RESILIENT KATO

  1. R

    JamiiForums Tanzania wazanzibari walitumia ubovu wa katiba kulipa kisasi Cha miaka mingi October 29!

    Huo ndio ukweli!
  2. R

    JamiiForums Tanzania wazanzibari walitumia ubovu wa katiba kulipa kisasi Cha miaka mingi October 29!

    Ukweli mchungu huu! Sikumbuki ni uchaguzi upi uliwahi kufanyija Zanzibar kwa amani bila damu kumwagika zaidi ya uke wa mwaka jana pekee!! Kwa miaka mingi damu za wazanzibari zimemwagwa sana kipindi cha uchaguzi ,na Baraza la maaskofu liliishia TU kulaani na kukaa kimya kisa aliekuwepo alikua...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Bado hatujamsikia Rais akisema neno 'Samahani' kwa yaliyotokea

    Haya mambo yalianza mbali sana na TEC hawakujiongeza! Mauaji ya Zanzibar 2001 kipindi cha mkapa,mkapa aliomba radhi!!?haki ilitendeka!!?mlidai katiba na tume huru ya uchaguzi!!?wazanzibari sio watu!!? TEC hawakudai katiba Wala tume huru ya uchaguzi kipindi kile cha mkapa!! Damu Ile Ile...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Huyu nabii Tito achukuliwe hatua za kisheria

    Elewa machine ya propaganda iki spin matukio na airtime kwenye media zetu!! Ili mambo mengine yasisikike!
  5. R

    JamiiForums Tanzania Naishauri TEC kulitazama upya Jimbo Katoliki la Kondoa kwa jicho la tatu.

    Shughuli pekee ya kitume kwa sasa ya TEC ni kudai haki ya wahanga wa October 2025!na waliopotea na kuwekwa gerezani kinyume cha sheria!! Hayo engine mapadri watayafanyia kazi!!
  6. R

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Comrade! Kubali nyakati,ndoa Haina umilele wa mpaka kifo kama mnavyoaminishwa na dini hizi,ni nyakati ndio huamua!! Unaweza kumchukua anaetia huruma kwa kila kitu,elimu,historia ya maisha ,Hali duni n.k lakini nyakati zikipita ukamvusha kote huko hatokumbuka ulipmtoa! Kuna kina sisi tulichukua...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Nimjuavyo Samia, Hawezi Kufanya Hayo Wanayotaka Wao

    Kitika mkumbo ameshatujibu kwamba hata wakiweka vikwazo tupo imara zaidi labda waongeze vikwazo zaidi ya hivyo!!
  8. R

    JamiiForums Tanzania Nimjuavyo Samia, Hawezi Kufanya Hayo Wanayotaka Wao

    Ina maana wao TEC ndio walialikwa na mama au mama ndio alowaalika TEC
  9. R

    JamiiForums Tanzania Pombe ni dhambi, acha kuitumia

    "wape maskini mvinyo walewe wasahau shida zao"
  10. R

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu naomba mnisaidie.Sitaki kurudi Misri ya u singo maza

    Hakikisha unashukuru hata nikijamba TU,hiyo itaniongezea Hali ya kujiamini! Wakati mwingine unanikumbusha nilipokutoa mbali huko sigimbi kwenye chumba kimoja na mlo mmoja! Nikikukuna hata kimoja chali unaimba mapambio ya sifa na kuabudu huku ukinipiga mgongonii ukisema "wewe ni mwamba kama...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    TEC wameishiwa pumzi,walimfuga chatu na sasa amewameza wenyewe! Walifuga katiba ya Nyerere ya chama kimoja,na kwakua katiba ile ilikua na maslahi Yao kupitia waumini wao kina Nyerere,mkapa!hawakuona umuhimu wa mabadiliko wakidhani mambo yatakua kama yalivyo Hadi ccm walipowazidi nguvu kipindi...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Nimjuavyo Samia, Hawezi Kufanya Hayo Wanayotaka Wao

    Kwani TEC wamekuja na msimamo Gani baada ya kikao!!?
  13. R

    JamiiForums Tanzania Comrades nikishika hatamu,JKT,Jeshi la magereza plus watoto wa mitaani kutumika kama lango la uchumi wa nchi hii!!

    Jkt itakua jeshi la uzalishaji na JW jeshi la wananchi kama kawaida!! Separation ya operation itafanyika!! Tutasimamia ipasavyo na mambo yatakua sawa!! Kwa sasa hakuna takwimu sahihi ya kiasi Gani kina zalishwa na kinatumikaje coz takwimu hazitolewi wazi ndio maana hatuelewi elewi mambo yapoje!
  14. R

    JamiiForums Tanzania Comrades nikishika hatamu,JKT,Jeshi la magereza plus watoto wa mitaani kutumika kama lango la uchumi wa nchi hii!!

    Tutaiweka vizuri TU,ushirikiano muhimu!! Hawatokaa kambini au magereza,watakua mobile wakifanya kazi! Namna ya kuwa monitor ndio swala la kutilia mkazo!!
  15. R

    JamiiForums Tanzania Comrades nikishika hatamu,JKT,Jeshi la magereza plus watoto wa mitaani kutumika kama lango la uchumi wa nchi hii!!

    kama mambo mengi Bado ni manually tuanzie huko,Rasilimali watu ni kubwa utendeji una sua sua sana!!
Back
Top Bottom