Kuna mwenzake alihama chumba jamaa asiipige!akaacha kupika,akaacha kufua nguo!!kutwa maneno mabaya kwa watoto akimsema jamaa!!
Jamaa akachoka akaenda kuanzisha maisha mapya sehem!!
Sasa hivi kaamua kuchukua mwanafunzi wake aliemfundisha secondary kuwa mumewe!!!anaonekana kituko kwenye jamii...
Upinzani ukiwa hai chama tawala wanakua wamoja kuzima hoja nzito za wapinzani wakati serikali inaendelea kuteleza majukumu na media zinakua active nankuuza sana habari na muhula wa uongozi unapita kama upepo!!
Sasa
Bunge la chama kimoja linachosha halina mvuto kabisa na linaua siasa na hoja...
Vita ya gizani ya system imehamia nuruni!!
Muhusika ametumika kumfanya yuda apendwe,aonewe huruma,apiganiwe hasa na huku bara!!!
Kifupi mjumbe analikuza jina la yuda kuliko hata yuda mwenyewe na no rasmi pale mjengoni yuda anao wengi wanaomuunga mkono ndio maana hakuna makofi Wala vigelegeke...
Mwanaccm mwenye akili kama kikwete na Mimi pia anajua uhai wa upinzani na upinzani active ndio uhai wa urais na Chama chetu!!!
Upinzani ukiwa hai wanaccm tunakua wamoja zaidi ili kupambana nao,upinzani usipokuwepo itabidi wanaccm wenzetu wajigawe wawe wapinzani wa madaraka ndani ya chama hapo...
Kama ni mkristo mzuri anza kutoa sadaka na maombi ya usiku wa manane Mungu akupe uhai kufikia huko tunapokwenda !!
Kati ya watu wanaopaswa kumuomba MUNGU sana ni wanasiasa wakubwa wakubwa wa awamu hii coz mlitegewa mtego mkaingia wazima wazima na Ike damu ndio inahatarisha nafasi zenu bungeni...
Mapinduzi ya kijeshi sio ushujaa ni kifeli kwa mifumo ya usalama ya nchi husika!!
Huku kwetu Bado tupo kwenye misingi ya SAFE PROCESS,yaani anaewindwa hajui kama anawindwa na hajui nani mkweli nani muongo yaani yeye anahangaika kujua mbaya wake lakini hamjui na huyo mbaya wake anaweza kuwa...
Mkuu Wala usiogope hiyo ni michezo ya system!!
Yaani kama pool table inapigwa kete moja inapiga mwenzake then wanapigana wao kwa wao halafu wanae mtaka wanamficha abaki safe wakati wao wanna raruana na kuvunjana mifupa!!
Ubaya ukiwa namba Moja ni ngumu kujua yupi yuda yupi yesu yupi Paulo wala...
I think operation PJLK is now on!!!
that voice from Mps house will trigger the desired outcome!
The state is about to pull the trigger!
Now it's a true war BTN the Allies of US as attackers vs Allies of Russia as defenders of the current office sitter!
I wrote earlier in this platform that...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.