Na ukikaribia uchaguzi ujao wanaenda bench tena :D Ila washkaji kwanini wasisome, siku hizi elimu kila mahali hadi inakufata ulipo kupitia online. Utumwa mdogo mdogo wa wanasiasa unaepukika..
Hizi vurugu hasa asubuhi huwa zinaharibu morali ya unachoenda kufanya siku hiyo, kuna mtu aliniuliza muda gani huwa unasimama kwenye siku nikagundua hamna. Nikaamua nasimama kwenye daladala na nilifanya hivyo mpaka siku naacha kupanda..
Nilishawahi kuona vita, wadada wawili mmoja aliweka kimzigo cha sokoni mwingine akatoa.. lile battle vile vitu vikarushwa vikasambaa ndani ya daladala watu kimya hakuna wa kuamulia mpaka makonde yalivyoanza kukosea njia na kuwafikia majirani ndio wakaamuliwa. Mzee mmoja akapisha siti kila mtu...
Kuna ruti ukiweka begi haliapply kama ya Mbagala, mtu akilalamika mbona begi limetolewa unakuwa tu umewapa watu mjadala.. basi zima linaungana kukusema:D
Changamoto ya kutoa parcel iliyowekwa ni mwenye nayo awe mama mjamzito au ana watoto wadogo.. Hapo utakuwa mpole na utaachia siti
Netflix imekubali kuinunua kampuni ya filamu na kurusha maudhui ya Warner Bros Discovery kwa dola za kimarekani Bilioni 72. Netflix ameibuka kinara wa zabuni ya kuinunua Warner Bros baada ya kuwapiku washindani wake Comcast na Paramount Skydance baada ya vita kali.
Tume ya ushindani ikipitisha...
Kamati ya Bunge ya mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya imepiga kura ambapo kura 53 zimeunga mkono pendekezo la kusitisha Euro Milioni 156 kwenye mpango kazi wa Tanzania kwa mwaka 2026 huku kura mbili pekee zikiamua kwenda tofauti.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, David McAllister amesema Tanzania imeamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.