Recent content by Replica

  1. Replica

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Serikali inaandaa mpango wa kuwarejesha kazini waandishi wakongwe waliokosa vigezo vya ithibati. Kwanini baada ya Uchaguzi?

    Na ukikaribia uchaguzi ujao wanaenda bench tena :D Ila washkaji kwanini wasisome, siku hizi elimu kila mahali hadi inakufata ulipo kupitia online. Utumwa mdogo mdogo wa wanasiasa unaepukika..
  2. Replica

    JamiiForums Tanzania Tabia ya kuweka begi dirishani kwenye daladala ili kuwahi siti inaboa sana. Ntakuja nipige mtu ngumi

    Hizi vurugu hasa asubuhi huwa zinaharibu morali ya unachoenda kufanya siku hiyo, kuna mtu aliniuliza muda gani huwa unasimama kwenye siku nikagundua hamna. Nikaamua nasimama kwenye daladala na nilifanya hivyo mpaka siku naacha kupanda..
  3. Replica

    JamiiForums Tanzania Tabia ya kuweka begi dirishani kwenye daladala ili kuwahi siti inaboa sana. Ntakuja nipige mtu ngumi

    Nilishawahi kuona vita, wadada wawili mmoja aliweka kimzigo cha sokoni mwingine akatoa.. lile battle vile vitu vikarushwa vikasambaa ndani ya daladala watu kimya hakuna wa kuamulia mpaka makonde yalivyoanza kukosea njia na kuwafikia majirani ndio wakaamuliwa. Mzee mmoja akapisha siti kila mtu...
  4. Replica

    JamiiForums Tanzania Tabia ya kuweka begi dirishani kwenye daladala ili kuwahi siti inaboa sana. Ntakuja nipige mtu ngumi

    Kuna ruti ukiweka begi haliapply kama ya Mbagala, mtu akilalamika mbona begi limetolewa unakuwa tu umewapa watu mjadala.. basi zima linaungana kukusema:D Changamoto ya kutoa parcel iliyowekwa ni mwenye nayo awe mama mjamzito au ana watoto wadogo.. Hapo utakuwa mpole na utaachia siti
  5. Replica

    JamiiForums Tanzania Netflix yaridhia kuinunua Warner Bros kwa $ 72bn, inalipa deni lote la Taifa na bajeti ya mwaka mmoja juu

    Netflix imekubali kuinunua kampuni ya filamu na kurusha maudhui ya Warner Bros Discovery kwa dola za kimarekani Bilioni 72. Netflix ameibuka kinara wa zabuni ya kuinunua Warner Bros baada ya kuwapiku washindani wake Comcast na Paramount Skydance baada ya vita kali. Tume ya ushindani ikipitisha...
  6. Replica

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    Kamati ya Bunge ya mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya imepiga kura ambapo kura 53 zimeunga mkono pendekezo la kusitisha Euro Milioni 156 kwenye mpango kazi wa Tanzania kwa mwaka 2026 huku kura mbili pekee zikiamua kwenda tofauti. Mwenyekiti wa kamati hiyo, David McAllister amesema Tanzania imeamua...
  7. Replica

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jeshi la Polisi latangaza curfew (amri ya kutotoka nje) kuanzia Saa 12 jioni kwa wakazi wa Dar es Salaam

    Jeshi la Polisi limesema kuanzia leo tarehe 29 mwisho wa watu kuwa nje ni saa 12 Jioni.
  8. Replica

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ubalozi wa Marekani watoa tahadhari ya maandamano kwa raia wake waliopo nchini

    Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umewataka wafanyakazi wa Ubalozi kubaki ndani kutokana na maandamano yanayoendelea Nchi nzima.
  9. Replica

    JamiiForums Tanzania Vitu ambavyo hautafanya mpaka 29 October ipite

    Kuna mtu ameghairisha uwekezaji mahala anasubiri October ipite kwanza
  10. Replica

    JamiiForums Tanzania Orodha ya makocha waliowahi kuhudumu Young Africans SC (Yanga SC) toka mwaka 2000 – 2025

    Shughuli inayoniweka mjini ni kuuza miwani kwa wenye uoni hafifu, karibu tukuhudumie mkuu..
  11. Replica

    JamiiForums Tanzania Akaunti ya Instagram ya Humprey Polepole yafutwa?

    Ipo umeiona wapi Mkuu?
  12. Replica

    JamiiForums Tanzania Akaunti ya Instagram ya Humprey Polepole yafutwa?

    Akauti ya Instagram aliyokuwa anatumia Humphrey Polepole imefutwa ikiwa ni siku moja baada kusemekana ametekwa na watu wasiojulikana.
Back
Top Bottom