we are talking about popularity.. the question raised on top of the thread.. Tz music is more popular than kenyaz..
Its rare to hear kenyan music played in our stations... while
Tz music dominates in all stations across east, central africa .. so if you ask what we are better at... then the...
stupid...
So you are saying kenyan music is better/ popular than Tanzanian?
Fortunately numbers dont lie, how about checking youtube viewers Tanzanian Music artists Vs Kenyans...
Wen we are done , lets check the number of shows abroad that Tanzanians get Vs what kenyans get..
Lets finish...
Nafahamu wapo wanafunzi ambao wamekosa nafasi ya kuingia chuo mpaka sasa kutoka na wao kung'nga'ania kuchagua vyuo/kozi zenye ushindani hivyo kutupwa nje kutokana na competition.
Habari njema ni kwamba naendelea kuwasaidia wanafunzi katika round hii ya 4 ambayo inaonekana wazi kabisa ndio lala...
85% wamepata round ya kwanza na ya pili, waliokosa ni kutokana na ubishi wao wa kung'ang'ania kozi zilizojaa na vyuo vyenye cutthroat competition kama UDSM wakati ufaulu wao ni wa kawaida( 2 au 3 za mwisho)
huyu mpuuzi sijui hajala mchana, yaani watu wote niliowafanyia application wasilalamike aje alalamike yeye ambaye hata simjui na wala sijawahi kumfanyia application, naona anatafuta mtu wa kumfia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.