Recent content by Reni

  1. R

    Maombi ya kufadhiliwa masomo ya chuo

    Watoto wa baba mmoja, baba wa watoto ana maisha yake tulitengana ,naweza kulea watoto na mahitaji binafsi ila nahitaji sapoti ya ada tu
  2. R

    Maombi ya kufadhiliwa masomo ya chuo

    You have already said this is the highest level of stupidity !Is that not enough?
  3. R

    Maombi ya kufadhiliwa masomo ya chuo

    Ada 1m ,chuo St joseph college morogoro,muda wa kozi mwaka mmoja
  4. R

    Maombi ya kufadhiliwa masomo ya chuo

    Ada ni million 1, kozi inachukua muda wa mwaka mmoja , masomo ni bussine management
  5. R

    Maombi ya kufadhiliwa masomo ya chuo

    Mimi nina umri wa miaka 27 ,ni mama wa watoto 4 ,nilifika mpaka kidato cha 5 ila sikufanikiwa kumaliza A level. Ninatamani kujiendeleza kimasomo ila sina uwezo natamani nikaanze certficate in in bussiness managment. Naomba anayejua wanaotoa ufadhili wa masomo tafadhali aniunganishe au...
  6. R

    Natafuta soko la ndizi na nazi

    Habari, natafuta ndizi mshale mikungu 50,mwenye nayo naomba anitafute,0743185408
  7. R

    Wanunuzi wa viazi mviringo

    Anayehitaji viazi mviringo tuwaailiane 0743185408 Nipo Mbeya mikoani nasafirisha ukihitaji mzigo mkubwa
  8. R

    Bei za sokoni mazao mbalimbali

    Nahitaji wanunuzi/madalali wa ndizi na viazi mviringo dar
Back
Top Bottom