Tunaona mbwa akiona chatu sikuzote anamkimbilia kwa kumlilia,lkn kumbe ndiyo mwisho wake wa uhai,chatu akiona hivyo ananyamaza tu anakuwa mpole anasubiria hatima ya kujipatia kitoeo,ni kweli mbwa hanaga la kufanya kwachatu,zaidi kusubiri hukumbu ya kuvunjwavunjwa na kumezwa kabisa,Chama...