ilo kwel mkuu nimeongea mpaka aaut imekauka mtu akuelewi wananipa usb hub yenye switch wanajifanya wananielewesha akat mm najua ninachofanya bongo zitakuwepo tu mbona HDMI switch zipo
Habar wadau
Nimezurula kariakoo mpaka nimechoka natafita usb switch sio usb hub usb switch
ipo hv nina pc 3 na nina zitumia mara kwa mara kwa kaz mbalimbali sasq nikawa natafuta mfumo utakao niwezesha kushare vifaa vya usb nfano mouse keyboard pri ter etc via 2 pv ili nijiepushw na chomoa...
wadau wengi wamenifuata inbox ngoja nijibu hapa kwa msaada wote
instalation TTCL sio free ni paid 100k
acha ujuaji nenda ofisi za wilay au kata mpe engineer 100k yke utapewa lift mpka site na siku io io unafungiwa fast
mm nimeshafunga TTCL ofisin km huna connection km hutotoa rushwa kwa maofisa na mafundi sahau ni uhun mtupu utajaza formu adi ukome utapiga simu jibu lao pendwa vifaa hamna serikal yenyewe ipo io tu hawashughulishwi
thubutu mwanamke ata uwe na hela ataleta shobo tu ili ww ujichenge mfano mm kuna demu aliniombaga anywe soda yangu nikamwambia kunywa akanywa tena kwa madoido nikajitia simuelew mwingine alinopaga maji nimfungulie kawapita watu kibao aje aniombe mm nikajitia simuelew nikamfungulia...
mm nawamotivate tu ila ucje ukadhan wakianza kututongoza tutatongozwa ovyo km tunavyowatongoza sisi ilo sahau wale wakipenda wanapenda kweli wana kinyaa pia ivo akikuambia anakupenda kamaanisha sisi wanaume tumeweka tamaa mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.