Nina tumiwa msg za vitisho kwa namba nisio ifahamu,nimetoa tarifa polis wamenipa rb,lakn kuitambua namba pols wanadai laki tatu ili waende dar kuulizia namba ni ya nan? Nichukue hatua gani kisheria? Nipo shinyanga
Baba yangu amemteketeza mama yangu na kwa sasa anauza mali za familia kuna shamba la hekali 400 linataka kuuzwa je mama achukue hatua gani kisheria kuepusha uuzaji wa ilo eneo? Na vile vile yupo tayari kutengana nae ili nae afaidike na mali waliochuma pamoja hatua za kisheria tafadhari wadau
Ni kweli nilianza nae mahusiano mapema coz tunalingana umri wasi wasi wangu ni kwamba kwann nikiwa na yeye mashine yangu inakua imara muda wote na nikikutana na mtu mwngne inagoma? Au nina tatizo ndugu zangu
Mimi ni kijana mwenye miaka 21 nimekaa na mpenz wangu zaidi ya miaka minne..na katika faragha uwa nampa haki yake kisawasawa, lakin toka nimeachana nae kila nikichukua mwanamke mwngne mashne yang inagoma kusimama sijui tatzo ni nn? Lakn kila nikimuwaza yy mashne inasmaa vizur tu..msaada jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.