Recent content by Ren g

  1. R

    Access bank

    Bonus yao uwa inaanzia sh ngap? Mpaka sh ngap mdau? Kwa ma officer
  2. R

    Access bank

    Wadau naomba mnisaidie mshahara wa loan officer na client adivisor access bank
  3. R

    Natishiwa maisha

    Kumtishia mtu maisha kisheria kosa linaitwaje? Na linapatikana kifungu gan?
  4. R

    Msaada kwa uyu polisi

    Nina tumiwa msg za vitisho kwa namba nisio ifahamu,nimetoa tarifa polis wamenipa rb,lakn kuitambua namba pols wanadai laki tatu ili waende dar kuulizia namba ni ya nan? Nichukue hatua gani kisheria? Nipo shinyanga
  5. R

    Naomba msaada wa kisheria

    Baba yangu amemteketeza mama yangu na kwa sasa anauza mali za familia kuna shamba la hekali 400 linataka kuuzwa je mama achukue hatua gani kisheria kuepusha uuzaji wa ilo eneo? Na vile vile yupo tayari kutengana nae ili nae afaidike na mali waliochuma pamoja hatua za kisheria tafadhari wadau
  6. R

    Buzwagi kahama ajira

    Jamamanni habari za jioni wadau eti ni kweli barrick buzwagi kahama kuna nafasi mpya wametoa? Mwenye tarifa tafathari msaada...
  7. R

    Msaada wa kisheria tafadhari

    Nina ndugu yangu kawekwa rokap toka juz na polisi kwamba wamedhurum mtu pesa lakn mpaka sasa polisi hawana ushahidi wowote je nifanyeje?
  8. R

    Buzwagi kahama

    Jamani mwenye ufaham au tarifa wana jf iv ni kweli buzwagi wamesitisha kutoa ajira??
  9. R

    Msaada plzz

    Shule nimemaliza kidato cha sita na sasa nafanya kazi kampun binafsi...
  10. R

    Msaada plzz

    Ni kweli nilianza nae mahusiano mapema coz tunalingana umri wasi wasi wangu ni kwamba kwann nikiwa na yeye mashine yangu inakua imara muda wote na nikikutana na mtu mwngne inagoma? Au nina tatizo ndugu zangu
  11. R

    Msaada plzz

    Nimeachana nae kwa sababu kuna baadhi ya mambo tumeshndwa kuendana sawa...mashne naipa likizo aisee
  12. R

    Msaada plzz

    Mimi ni kijana mwenye miaka 21 nimekaa na mpenz wangu zaidi ya miaka minne..na katika faragha uwa nampa haki yake kisawasawa, lakin toka nimeachana nae kila nikichukua mwanamke mwngne mashne yang inagoma kusimama sijui tatzo ni nn? Lakn kila nikimuwaza yy mashne inasmaa vizur tu..msaada jaman
  13. R

    msaada kiwango cha mshahara wa field officer

    Eti jamani mliobahatika kuitw eti lile tangazo la kazi lilikua linataka utume cv na vyeti? Au cv peke yake? Accessbank
  14. R

    msaada maswali ya interview ya field officer ya accessbank!

    Hawa jamaa wanatumia vigezo gani kuita watu kwenye usahili? Ivi bado wanaita au ndo wameishamaliza kuita kwa usahili wa tarehe 2 mwanza?
Back
Top Bottom