Samahan wakuu nina tatizo hapa la mita au maalufu kama luku ni ile ya kisasa yenye kile kimita kidogo kama kalukuleta cha kuingizia umeme na kuangalia pia sasa imekuwa na tatizo hili la connect fail kama mwezi hivi nikawasiliana na tanesco iliyopo jirani yangu maana mimi niko dat mitaa ya...
Mkuu sasa kwann usitupe hii elimu adimu hapahapa hivi kila mtu akisema amutafute utatafutwa mpaka pm yako utailimbia au umeandaa group la WhatsApp tuje kama sio basi jibu tu hapahapa mkuu tunaomba lakin.
Hivo vidonge vya pep vinavizuia maambukizi ya ukiwmi vinapatiakanaaa wapi na ni sh ngap mbona sjawahi kuskia inamaana umefanywa siri ili iweje kwamba watu tukijua tutafanya ngono zembe kwa kutegemea kemeza dozi ya pep naomba majibu hapa.
Jmn tuwe wa kweli kati ya energy zote zilizopo kwenye soko hata kwetu Tz iwe yminatengenezwa hapa au nje ni ipi iko poa na inakupa nguvu na uchangamfu kama Mo energy ipi nzuri zaidi aisee
Dah aisee kama ni kwelii imepanda haya ni majanga ila bora ipande bei kuliko kukosekana wengine tushazizoea jmn hizi energy ni shida i think iyo xtra sio nzuri kama energy zenyewe
Mmmhh hadi unaboa mda mwingine mtu anaweza kujiuliza huyu jamaa nmekosea nn au anajiona matawi hawezi ongea na mimi maskini... Punguzeni uoga jmn mta wapa watu maswali yasiyo na majibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.