Wewe ulipanga hivyo MUNGU hajakupangia bado. Funga na kusali kama upo karibu na Mungu wako. Kumbuka wewe ulichompendea ndicho yeye alichokichukia kwako. Shukuru mmeachana wazima je angekutoa jicho? Hayo yapo duniani utasahau tu.
Usichokijua sawa na usiku wa giza baada kusoma mawazo ya bw. Mberoya kama kweli uwezo anao na analidhalilisha Taifa letu afuatiwe na vyombo husika achukuliwe hatua stahiki. Lakini kwa wale walioliletea taiga sifa na wanateseka watambuliwe na serikali yetu.
Fuatilia mfumo wa maisha wakati ulikuwaje au Sera za nchi kwa wakati ilikuwaje badala yakulaumu wanavyolalamika ambao walikuwa maarufu wakati huo. Zamani mtumishi wa serikali alikuwa anapewa /anatafuata miiko iliyowekwa mpaka anajisahau kama baadae atakuwa nje ya mfumo wa utumishi au serikari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.