CHADEMA siyo chama cha watu wachache NI chama cha wananchi na ni taasisi inayojitegemea.. mtu yeyote anweza kuondolewa bila kujali ushawishii wake kwa wananchi pindi inaposibitika amekiuka katiba ya CHAMA..wanaCHADEMA wote ni majembe hata kama ni MBOWE au SLAA anaweza kwenda na kutuaacha na...
hatuta kubali wajinga wachache watusumbue...mti unaolengwa mawe matunda yake matamu....wana wa ARUSHA na kata zote zilizopo hatuji lolote wala hatiskii unafiki wenu...LEMA ndiyo tumaini letu na CHADEMA ndiye mama yetu.
hoja yako na ushauri wako ni wa msing kabisa na unaonyesha ulivyo mzalendo .Ijapokuwa unaonekana bado upo magamba na ukombozi hujakufikia sioni sababu ya kupokea pumba zako kwani wew hututakii mema..wale wale wakina lUMUMBA
Haki za raia na usalama wao vip? tutawawezesha vijana kupata ajira vip hapo?Maisha bora kwa kila mtz vip? mauaji ya tembo na usafirishaji wa twiga ( rasilimali zetu)? katika maraisi kibisa na legelege waliotokea TZ M.Kikwete anaongoza...namchukia kuliko njaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.