Recent content by Relax

  1. R

    Rais Magufuli afuta shamrashamra za miaka 52 ya Muungano, fedha zikajenge barabara Mwanza

    Utafanyaje sherehe wakati mwenzi wako hana amani? think twice,
  2. R

    Rais Magufuli afuta shamrashamra za miaka 52 ya Muungano, fedha zikajenge barabara Mwanza

    Utafanyaje sherehe wakati mwenzi wako hana amani? think twice,
  3. R

    MUUNDO WA UTAWALA MKOA

    katibu tawala mkoa katibu tawala msaidizi uchumi katibu tawala msaidizi mipango katibu tawala msaidizi elimu katibu tawala msaidizi uchukuzi katibu tawala msaidizi utawala katibu tawala msaidizi serikali mtaa mkuu wa kitengo manunuzi mkuu wa kitengo ukaguzi wa ndani mkuu wa kitengo tehama katibu...
  4. R

    Waraka: Shule 11 za Serikali Hazitahusika na Utoaji wa Elimu Bure

    chakula----- matibabu...... vifaa vya usafi(jembe, fagio, fekeo,reki, ndoo) mzazi maskini atamudu?
  5. R

    Charles Mwijage: Nilitegemea kuteuliwa kwenye Baraza la Mawaziri

    yeah,,,anapenda sana recognition,,,
  6. R

    Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

    anamteua yeyote anayeona anaweza kufanya nae kazi, utendaji, mahali anatoka, uzoefu, umri, ni vigezo muhimu
  7. R

    Admission stutus

    Wadau,,, naomba Muongozo, nimekuwa provisional selected chuo cha Stephano Moshi Memorial University College through NACTE,, lakini profile inasema naweza kuedit mchaguo mpaka tarehe 24, mwenye uelewa tafadhali
  8. R

    Hajapata post mpk leo ana wasiwasi jamani

    wana jukwaa, mimi nina diploma, nimeomba kupitia nacte, mpaka sasa sijapata, na vyuo nilivyoomba wametoa? nimesoma East Africa Training Institute kipo arusha, wenye kufahamu msaada please
  9. R

    Siku 100 za Edward Lowassa Madarakani

    Daa,,,, maisha yatakuwa ya furaha kwa wotee.... ngoja tuone
  10. R

    GE2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

    Alikuwa anatumwa sasa atakuwa anatuma>>...........................................
Back
Top Bottom